Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Huogopi bk itarudii mrembo dinnah?Ngoja niwahi siti
Hakuna shida mzee baba,tumeuanza mwaka vizuri na tunauendeleza vizuri
2019 ni mwendo wa kuwa single tu
Tumechokaaaaa.
Watu toka mwaka juzi, mzee baba unahesabu siku 11 nina siku nyingi sanaLeo ni siku ya 11 toka mwaka huu uanze nina imani wapo ambao hawajazini kabisa mwaka huu, nini kinakukwamisha? Unakwama wapi mzee baba na kwa wadada ambao bado hamjatafunwa mwaka huu shida nini wazee mama mmepoteza mvutoo au gundu??
Wkend njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Polee mzeee...unakwama wapi?Watu toka mwaka juzi, mzee baba unahesabu siku 11 nina siku nyingi sana
Daah mzee baba mambo haya magumu sana
Bibie taratibu basi...Haha huu mwaka nina hasira sana nisije kata vidude vya watu bure,au kuchanachana na viwembe tu
Bora nisiivunje hiyo amri kwakweli maana nitakuwa bodyguard wa mtu, nisisikie hata mbu anasogea,nategesha masikio kama antena,macho tena kama fundi Saa
Kuepuka hizo shari bora kuwa single aisee,maana ntaua mtu
Mume anauma eti.
Leo ni siku ya 11 toka mwaka huu uanze nina imani wapo ambao hawajazini kabisa mwaka huu, nini kinakukwamisha? Unakwama wapi mzee baba na kwa wadada ambao bado hamjatafunwa mwaka huu shida nini wazee mama mmepoteza mvutoo au gundu??
Wkend njema
Sent using Jamii Forums mobile app
@minah24Nikitenda hilo tendo wakati cna hela au nnatatizo lolote linanisubua kwa wakati huo hua sickiag raha
Anaekufanya huku ukiwa huna ela anajua huna ela?Nikitenda hilo tendo wakati cna hela au nnatatizo lolote linanisubua kwa wakati huo hua sickiag raha
Polee sana wew mwaka jana inaonyesha umepitia makubwaHaha huu mwaka nina hasira sana nisije kata vidude vya watu bure,au kuchanachana na viwembe tu
Bora nisiivunje hiyo amri kwakweli maana nitakuwa bodyguard wa mtu, nisisikie hata mbu anasogea,nategesha masikio kama antena,macho tena kama fundi Saa
Kuepuka hizo shari bora kuwa single aisee,maana ntaua mtu
Mume anauma eti.