Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

IMG_20190111_101634.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni siku ya 11 toka mwaka huu uanze nina imani wapo ambao hawajazini kabisa mwaka huu, nini kinakukwamisha? Unakwama wapi mzee baba na kwa wadada ambao bado hamjatafunwa mwaka huu shida nini wazee mama mmepoteza mvutoo au gundu??


Wkend njema

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu toka mwaka juzi, mzee baba unahesabu siku 11 nina siku nyingi sana
 


Haha huu mwaka nina hasira sana nisije kata vidude vya watu bure,au kuchanachana na viwembe tu

Bora nisiivunje hiyo amri kwakweli maana nitakuwa bodyguard wa mtu, nisisikie hata mbu anasogea,nategesha masikio kama antena,macho tena kama fundi Saa

Kuepuka hizo shari bora kuwa single aisee,maana ntaua mtu

Mume anauma eti.
 
Haha huu mwaka nina hasira sana nisije kata vidude vya watu bure,au kuchanachana na viwembe tu

Bora nisiivunje hiyo amri kwakweli maana nitakuwa bodyguard wa mtu, nisisikie hata mbu anasogea,nategesha masikio kama antena,macho tena kama fundi Saa

Kuepuka hizo shari bora kuwa single aisee,maana ntaua mtu

Mume anauma eti.
Bibie taratibu basi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ni siku ya 11 toka mwaka huu uanze nina imani wapo ambao hawajazini kabisa mwaka huu, nini kinakukwamisha? Unakwama wapi mzee baba na kwa wadada ambao bado hamjatafunwa mwaka huu shida nini wazee mama mmepoteza mvutoo au gundu??


Wkend njema

Sent using Jamii Forums mobile app



Nikitenda hilo tendo wakati cna hela au nnatatizo lolote linanisubua kwa wakati huo hua sickiag raha
 
Haha huu mwaka nina hasira sana nisije kata vidude vya watu bure,au kuchanachana na viwembe tu

Bora nisiivunje hiyo amri kwakweli maana nitakuwa bodyguard wa mtu, nisisikie hata mbu anasogea,nategesha masikio kama antena,macho tena kama fundi Saa

Kuepuka hizo shari bora kuwa single aisee,maana ntaua mtu

Mume anauma eti.
Polee sana wew mwaka jana inaonyesha umepitia makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom