Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #81
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hyo siku 11 mke hajakuonjesha mkuu?Mimi hii miaka 2 sasa naweza kumtongiza demu tukakubaliana kila kitu lakini nikimkumbuka mke wangu nakuwa mpole nawaza kwanini nimfanyie ubaya huu? Natafuta nini zaidi? Je akijua atanionaje? Je ataniamini tena? Je na yeye akifanya hivyo nitajisikiaje nikijua? Nikifika hapo basi najikuta nahairisha gemu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo dadangu
Hahaha hahaha hahaha hahahaMm wa kwanza kabisa
Umesema waliovunja amri ya sita. Akifanya na mke anakuwa amevunja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu toka mwaka juzi, mzee baba unahesabu siku 11 nina siku nyingi sana
Sijambo mimi mdogo wanguu...
AmenSijambo mimi mdogo wanguu...
Ikimbie zinaa mdogo wanguu. Zinaa hufanya tukose baraka za Allah
Habari za kufichwa
siyo lazima uchomeke mjulus kwa fyade ya papuchi mkuu hata ukiuchomeka kimawazo,ukitamani msambwanda , ukisimamisha kichwa kama jogoo aloona mwewe umezini so kuzini umezini sana tangu tarehe 1 unabisha??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]chaaa! Vishaota na tandabui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]