Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

Wale ambao bado hatujavunja amri ya 6 mwaka huu tukutane hapa

hahahah insta bhana bhana nahisi ni ujana alafu mtekaji naye sometimes analeta stress tu..

ila siku hizi nimezeeka insta babe mwezi wa nne ntaifuta namba ya cutey kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhahaha
Hiyo no ya cutey sijui kama itafutwa inaonekana anakuchanganya sana

Mtekaji hata kama anakupa stress insta baby ndio wako sasa huna wa kumtupia
 
Mwez wa kwanza ni lango. Utakavyo anza mwezi wa kwanza ndipo mwaka wako utavyoenda. Umeanza na uzinzi.. ndivo itavyokuwa, umeanza na wizi.. umeanza. A mikos ndivyo mwaka utavyoenda.

So kuwa makini na unavyoanza mwaka
Leo ni siku ya 11 toka mwaka huu uanze nina imani wapo ambao hawajazini kabisa mwaka huu, nini kinakukwamisha? Unakwama wapi mzee baba na kwa wadada ambao bado hamjatafunwa mwaka huu shida nini wazee mama mmepoteza mvutoo au gundu??


Wkend njema

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahhahaha
Hiyo no ya cutey sijui kama itafutwa inaonekana anakuchanganya sana

Mtekaji hata kama anakupa stress insta baby ndio wako sasa huna wa kumtupia
hahahaha... insta babe bado nafikiria ulivyokuwa unacheka akati unasoma ile day [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nimedhamilia kuifuta kwa kwel ..ili nibaki na mtekaji wangu though sometimes ananizingua hadi kakitambi kangu kanataka kuondoka bila ya zoez

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha... insta babe bado nafikiria ulivyokuwa unacheka akati unasoma ile day [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

nimedhamilia kuifuta kwa kwel ..ili nibaki na mtekaji wangu though sometimes ananizingua hadi kakitambi kangu kanataka kuondoka bila ya zoez

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahaa acha tu nilicheka sana ebu achana nao hao wa kununua bwana bora ungekuwa na mchepuko wa kudumu labda, wa kununua jamani nilikushusha vyeo vyotee ndio yale ya Thai haujakoma yalivyokukuta

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtekaji naye apunguze kukuvuruga mpaka kitambi kinapungua shauri yake kuna wakina cutey wanamsindikiza baby mpaka arusha ajiangalie nae
 
Hahahhahahaa acha tu nilicheka sana ebu achana nao hao wa kununua bwana bora ungekuwa na mchepuko wa kudumu labda, wa kununua jamani nilikushusha vyeo vyotee ndio yale ya Thai haujakoma yalivyokukuta

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mtekaji naye apunguze kukuvuruga mpaka kitambi kinapungua shauri yake kuna wakina cutey wanamsindikiza baby mpaka arusha ajiangalie nae
hahahah.. yale ya Thai sitaki hata kuyakumbuka insta babe... naomba unirudishie basi kacheo hata kamoja maana mambo za cutey ni tbt ujue [emoji23][emoji23][emoji23]

now nimetulia na mtekaji wangu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah.. yale ya Thai sitaki hata kuyakumbuka insta babe... naomba unirudishie basi kacheo hata kamoja maana mambo za cutey ni tbt ujue [emoji23][emoji23][emoji23]

now nimetulia na mtekaji wangu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Insta babe ngoja kwanza nikuangalie angalie ukibadilika naweza kukurudishia hata kicheo kimoja

Mambo ya cutey tbt na no yake mpaka leo hufuti ebu insta baby niache bwana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Insta babe ngoja kwanza nikuangalie angalie ukibadilika naweza kukurudishia hata kicheo kimoja

Mambo ya cutey tbt na no yake mpaka leo hufuti ebu insta baby niache bwana
hahaha insta babe kaniweka chini ya uangaliz maalum [emoji23][emoji23][emoji23]

nna imani vyeo vyangu vyote ntavipata tena ngoja niifute kabisa hii namba ya cutey

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Insta babe ngoja kwanza nikuangalie angalie ukibadilika naweza kukurudishia hata kicheo kimoja

Mambo ya cutey tbt na no yake mpaka leo hufuti ebu insta baby niache bwana
tunafuta insta babe.....
Screenshot_2019-01-11-15-25-01.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom