Wanawake ambao MNA kiheherere kama mm tujuane, hivi mm nani aliniroga? Lakini mbona siaminigi uchawi? Sijui ni huruma ama? Yaani nikiingia mahusiano na mtu , cha kwanza naamza kuwaza ana body gani? Vip size yake ya viatu? Saa n.k hata kama Siku hiyo sina hela ila lazima niliweke kichwani, na mavazi yao sasa yalivyo gari. Yaan naonaga nisipompa kitu basi moyo unaumwa, ahaaaa jiulize sasa huwa napata nini in return.ππππ
Yaani ninavyopendaga zawadi jamani sijawahi pewa zawadi ila pesa napewa tena ndefu sio vielfu 30 vya watoto.
Naapaga kutotoa tena , nikiingia mahusiano, nikipita tu madukani narudia tena sijui nafel wapi? Ujinga gani huu? Aiiiii nimeacha kuanzia leo.
Haya na nyie wanawake mseme yenu nisijione mpweke mxeew nyau nyinyiππππ