Wale ambao huwa mnakwenda kwa waganga wa kienyeji kimya kimya hii kitu inawahusu

Wale ambao huwa mnakwenda kwa waganga wa kienyeji kimya kimya hii kitu inawahusu

Kun mdada mmoja nae mganga alimuua baada ya kuja na milioni 10 ili zifanyiwe uganga
 
Yaani kwa sie tusio amini mambo ya kichawi tujifunze kua wakimya msije bishana sehem yenye watu wengi hasa wazee, ukajidai we ni konki huamini uchawi
Hawa watu ni washenz xnaa
Ni washenz xnaa hawa pumbav zao siku nikikuta mchawi kakamatwa ntampiga kama mwizi
Mimi mbona kila mara huwa nabishana nao hadharani na hakuna lolote lililonitokea.

Kisa cha kuogopa kubishana nao hadharani ni kipi?
 
Waganga wengi ni maagent wa uharifu.
Wanaowategemea waganga ni wajinga sana. Sasa hivi hadi wachungaji wanawategemea waganga kama sio wenyewe kujigeuza waganga.

Mtachinjwa sana kama mkiendea kuacha kutegemea Juhudi, Mungu na Maarifa.
Kibokoooo ya wajingaa
Hahahaaa yaan pamoja na usanii na kelele zotee wajinga wenye masters walijazana kule
 
Kun mdada mmoja nae mganga alimuua baada ya kuja na milioni 10 ili zifanyiwe uganga
Sio yule wa mara alitokea arusha akapokelewa na waganga wakampeleka ziwani wakamalizana nae wakapita na hela
kama n hioo aisee niliona nkaumia mpaka wakiwa wanamtoa ziwani
 
MWOMBE MUNGU AKUPE UNACHOSTAHILI SIO UNACHOTAKA HATA KIDOGO UTAKIFURAHIA NDIO CHAKOOO

HAYA YA KUTAKA KUWA KAMA NANIIINOOO MTAKUFAAA
 
Imani za uganga hazina tofauti sana na imani za dini
Wote wanatumia vibaya hisia za wateja wao...
Watu wa dini ni ngumu kukamatwa maana wao hawaui na jamii inawaamini, na wana watetezi wengi.

Waganga jamii inawaona wachawi, na watu wanaenda kwa kificho.
 
Watanzania Tunaongoza kuamini ushirikina mnoo tena sana.

Hata kila kazi ukigusa utaambiwa bila ushirikina hutoboi.

Mara wachezaji wanalogana, mara vilabu vya mpira vinaloga, Mara walimu wanalogwa, mara biashara zinahitaji kafara au zindiko, Mara siasa bila kuloga hufanikiwi.

yaani ukimkosa mtanzania kwenye kuamini uganga basi utamkuta kabobea kwenye kuamini manabiii ambao nao ni Wale wale waganga wanaotumia dini.

Hebu chunguza watu wangapi wanao amini Chuma ulete. Watu wanatumia hela kijinga wanasingizia chuma ulete
😂
 
Mshikaji wangu mmoja baada ya kumaliza Chuo mwaka 2014 na kukosa Kazi, aliingia kwenye biashara za M Pesa, Tigo Pesa na bank. Mpaka mwaka 2020 alikuwa amejenga nyumba kubwa na kuanzisha familia.

Kijiwe chake kilikua sana na kitu nilichokiona pale ilikuwa ni nidhamu. Jamaa alikuwa anafungua Mapema sana na Kufunga saa sita usiku. Kitu pekee niliona Kama red flag ni Imani za kishirikina na niliwahi kumwambia kabisa haya mafanikio yako ni juhudi sio uganga lakini hakuwahi kuamini.

Mwaka 2023 alitoa Pesa zake zote bank Kama million 50 hapo na kuzipeleka kwa Mganga kwa ahadi za kuzifanya ziwe million 100. Ghafla akawa hapatikani. Baada ya wiki moja mwili wake ulikutwa mtoni ukiwa umechinjwa na kutobelewa macho.

Postmortem ilionyesha kwamba mwili ulikuwa kama na masaa machache baada ya kifo. Inaonekana walikaa naye kama wiki moja Kabla ya kumchinja.

Mke wake alipoenda bank alikuta deni la bank huku account in 200k tu. Yule Mganga alikuwa suspect na kukamatwa baada ya kufanya marekebisho ya nyumba, kununua Gari na vitu Vya thamani kwa muda mfupi tu lakini pia yeye kuwa wa Mwisho kuwasiliana na marehemu na baadhi ya Simu za Kazi za marehemu kukutwa kwake.

Lesson: Waganga wangekuwa na dawa ya pesa wangetengeneza pesa zao kwanza.
Ukweli mchungu mungu alishatuonya kuhusu kutegemea binaadamu wenzetu ila shetani anatutisha na kututia hofu ili twende kwa waganga, nasisitiza waganga wote ni matapeli, quran inatueleza vizuri kwamba heri na shari zote ni za mwenyezi mungu usiogope mitihani mtegemee mungu tu
 
Imani za uganga hazina tofauti sana na imani za dini
Ndiyo maana Waislam wa Zanzibar wanaamini sana waganga kuliko Mwenyezi Mungu, Ukienda Zanzibar utakuta Waislam wanaenda Msiktini kila wakati kufanya ibada, cha ajabu sasa Wakipata tatizo la kiafya, kiuchumi na kijamii wao wanakimbilia kwa waganga na siyo kwa Mwenyezi Mungu.
 
Ukweli mchungu mungu alishatuonya kuhusu kutegemea binaadamu wenzetu ila shetani anatutisha na kututia hofu ili twende kwa waganga, nasisitiza waganga wote ni matapeli, quran inatueleza vizuri kwamba heri na shari zote ni za mwenyezi mungu usiogope mitihani mtegemee mungu tu
Mkuu Wazanzibar wanapenda kwenda kwa waganga na Kwenda kusali msikitini pia wanapenda kwenda?
 
Mshikaji wangu mmoja baada ya kumaliza Chuo mwaka 2014 na kukosa Kazi, aliingia kwenye biashara za M Pesa, Tigo Pesa na bank. Mpaka mwaka 2020 alikuwa amejenga nyumba kubwa na kuanzisha familia.

Kijiwe chake kilikua sana na kitu nilichokiona pale ilikuwa ni nidhamu. Jamaa alikuwa anafungua Mapema sana na Kufunga saa sita usiku. Kitu pekee niliona Kama red flag ni Imani za kishirikina na niliwahi kumwambia kabisa haya mafanikio yako ni juhudi sio uganga lakini hakuwahi kuamini.

Mwaka 2023 alitoa Pesa zake zote bank Kama million 50 hapo na kuzipeleka kwa Mganga kwa ahadi za kuzifanya ziwe million 100. Ghafla akawa hapatikani. Baada ya wiki moja mwili wake ulikutwa mtoni ukiwa umechinjwa na kutobelewa macho.

Postmortem ilionyesha kwamba mwili ulikuwa kama na masaa machache baada ya kifo. Inaonekana walikaa naye kama wiki moja Kabla ya kumchinja.

Mke wake alipoenda bank alikuta deni la bank huku account in 200k tu. Yule Mganga alikuwa suspect na kukamatwa baada ya kufanya marekebisho ya nyumba, kununua Gari na vitu Vya thamani kwa muda mfupi tu lakini pia yeye kuwa wa Mwisho kuwasiliana na marehemu na baadhi ya Simu za Kazi za marehemu kukutwa kwake.

Lesson: Waganga wangekuwa na dawa ya pesa wangetengeneza pesa zao kwanza.
Hata rafiki yake wa karibu kabisa angeweza kumuua. Kwenye hela kuna rafu nyingi sana zinachezwa na watu tofauti tofauti tena wengine huwezi kuwadhania kabisa kwa nyadhifa zao kwenye jamii
 
Sio kweli, hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mwamposa, nabii kibo ya wachawi, geor davie n.k wana tofauti gani na waganga?
Kutumia maji ya baraka, rozari na chanting kanisani kuna tofauti gani na waganga?
Kutumia tasbihi, maji ya zamzam, albadiri n.k kuna tofauti gani na uganga?
 
Back
Top Bottom