Wale ambao mlinishambulia hapa JamiiForums December 2022 niliposema Yanga SC Bingwa tena Msimu huu mpo wapi?

Wale ambao mlinishambulia hapa JamiiForums December 2022 niliposema Yanga SC Bingwa tena Msimu huu mpo wapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Jifunzeni kuheshimu Watu waliobarikiwa Tunu ( Shani ) nyingi na Mwenyezi Mungu halafu na hata Soka la Tanzania ( Bongo ) wana PhD ( Doctorate ) nalo sawa?

Kama tu ndani ya Mechi Nane walituacha kwa Alama Tano tulishindwa Kuwakuta je, leo tumebakiza Mechi Sita ndiyo tunajidanganya kuwa tutazifikia hizo Alama Nane walizotuacha sasa?

Yanga SC hii ambayo hata ikianzisha Kikosi cha Pili ( Wasiopata Nafasi b) au kichanganya na Wachezaji baadhi wa Team B bado Wanashinda tena Convisingly ndiyo Mambumbumbu Wenzangu tulioko Vijiweni na humu Mitandaoni ndiyo tunajidanganya na kupeana Moyo kuwa Simba SC itakuwa Bingwa na kwamba Yanga SC itaangusha Alama?

Yanga SC ni Bingwa wa NBC Premier League ya Tanzania kwa huu Msimu tena wa 2022/2023 na GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuwapongeza wana Yanga SC wote ndani na nje ya Tanzania kwani kwa Utulivu wenu, Mikakati yenu, Umoja wenu na Wachezaji Washindani na Mahiri mlionao mlistahili na mmestahili na hata kwa Msimu mpya ( ujao ) bado nawaona ni Title Contender na mna 75% ya Kuwa Bingwa / Mabingwa tena.

Unaacha Kumsajili Ceaser Lobi Manzoki aje Kukuchezea kama Mshambuliaji unamleta katika Mkutano Mkuu wa Simba SC aje kupiga ( kukupigia ) Kura huku ukimpa Kadi ya Uanachama ndani ya Siku Mbili wakati akina GENTAMYCINE huu mwaka wa Tatu sasa tunahangaika kupata Kadi ya Uanachama tunazungushwa tu na Matapeli akina Makoye ( Mkuu wa Itifaki wa Kujiteua Mwenyewe Simba SC ) na Abbas Kijogoo ( Kigulu ) wa Kawe.

Hovyo kabisa......!!!!!!
 
Jifunzeni kuheshimu Watu waliobarikiwa Tunu ( Shani ) nyingi na Mwenyezi Mungu halafu na hata Soka la Tanzania ( Bongo ) wana PhD ( Doctorate ) nalo sawa?

Kama tu ndani ya Mechi Nane walituacha kwa Alama Tano tulishindwa Kuwakuta je, leo tumebakiza Mechi Sita ndiyo tunajidanganya kuwa tutazifikia hizo Alama Nane walizotuacha sasa?

Yanga SC hii ambayo hata ikianzisha Kikosi cha Pili ( Wasiopata Nafasi b) au kichanganya na Wachezaji baadhi wa Team B bado Wanashinda tena Convisingly ndiyo Mambumbumbu Wenzangu tulioko Vijiweni na humu Mitandaoni ndiyo tunajidanganya na kupeana Moyo kuwa Simba SC itakuwa Bingwa na kwamba Yanga SC itaangusha Alama?

Yanga SC ni Bingwa wa NBC Premier League ya Tanzania kwa huu Msimu tena wa 2022/2023 na GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuwapongeza wana Yanga SC wote ndani na nje ya Tanzania kwani kwa Utulivu wenu, Mikakati yenu, Umoja wenu na Wachezaji Washindani na Mahiri mlionao mlistahili na mmestahili na hata kwa Msimu mpya ( ujao ) bado nawaona ni Title Contender na mna 75% ya Kuwa Bingwa / Mabingwa tena.

Unaacha Kumsajili Ceaser Lobi Manzoki aje Kukuchezea kama Mshambuliaji unamleta katika Mkutano Mkuu wa Simba SC aje kupiga ( kukupigia ) Kura huku ukimpa Kadi ya Uanachama ndani ya Siku Mbili wakati akina GENTAMYCINE huu mwaka wa Tatu sasa tunahangaika kupata Kadi ya Uanachama tunazungushwa tu na Matapeli akina Makoye ( Mkuu wa Itifaki wa Kujiteua Mwenyewe Simba SC ) na Abbas Kijogoo ( Kigulu ) wa Kawe.

Hovyo kabisa......!!!!!!
Gentamycine .......mwenye madini yake
 
Ligi bado mbichi
JamiiForums716299035.jpg
 
Halafu unakuta wanaacha kumpa PhD ya heshima Gentamycin wanapewa wapumbavu wengine tu
 
Focus yetu ni kimataifa zaidi huku ndani tulishamaliza tunawaza ya horoya we unatuambia ya utopolo.
 
Yanga atakuwa bingwa hadi mam samia anaondoka madarakani ,periods

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unajifanyaga Mjanja kumbe hamna Kitu. Grammatically ukiandika Sentensi ya Kiingereza kana uliyoandika nwishoni unamalizia na neno period na siyo periods kama ulivyoandika Wewe sawa?

Halafu unajiita Dr wakati hovyo kabisa.
 
Jifunzeni kuheshimu Watu waliobarikiwa Tunu ( Shani ) nyingi na Mwenyezi Mungu halafu na hata Soka la Tanzania ( Bongo ) wana PhD ( Doctorate ) nalo sawa?

Kama tu ndani ya Mechi Nane walituacha kwa Alama Tano tulishindwa Kuwakuta je, leo tumebakiza Mechi Sita ndiyo tunajidanganya kuwa tutazifikia hizo Alama Nane walizotuacha sasa?

Yanga SC hii ambayo hata ikianzisha Kikosi cha Pili ( Wasiopata Nafasi b) au kichanganya na Wachezaji baadhi wa Team B bado Wanashinda tena Convisingly ndiyo Mambumbumbu Wenzangu tulioko Vijiweni na humu Mitandaoni ndiyo tunajidanganya na kupeana Moyo kuwa Simba SC itakuwa Bingwa na kwamba Yanga SC itaangusha Alama?

Yanga SC ni Bingwa wa NBC Premier League ya Tanzania kwa huu Msimu tena wa 2022/2023 na GENTAMYCINE nichukue nafasi hii Kuwapongeza wana Yanga SC wote ndani na nje ya Tanzania kwani kwa Utulivu wenu, Mikakati yenu, Umoja wenu na Wachezaji Washindani na Mahiri mlionao mlistahili na mmestahili na hata kwa Msimu mpya ( ujao ) bado nawaona ni Title Contender na mna 75% ya Kuwa Bingwa / Mabingwa tena.

Unaacha Kumsajili Ceaser Lobi Manzoki aje Kukuchezea kama Mshambuliaji unamleta katika Mkutano Mkuu wa Simba SC aje kupiga ( kukupigia ) Kura huku ukimpa Kadi ya Uanachama ndani ya Siku Mbili wakati akina GENTAMYCINE huu mwaka wa Tatu sasa tunahangaika kupata Kadi ya Uanachama tunazungushwa tu na Matapeli akina Makoye ( Mkuu wa Itifaki wa Kujiteua Mwenyewe Simba SC ) na Abbas Kijogoo ( Kigulu ) wa Kawe.

Hovyo kabisa......!!!!!!
ha ha rafiki una ka nongwa fulani hivi,kwa ushindi bado hesabu
 
Back
Top Bottom