Wale ambao tangia ujiunge na jamiiforums hujawahi kutumiwa MSG tukutane hapa..

Keep going, i like it[emoji101]
Ok, kuna siku ulicomment message nzuri sana jukwaa la MMU. Msg ile niliielewa sana, nilihisi kama unaniambia mimi maneno mazuri kama yale ya upendo.

Kiukweli nilikosa usingizi, nikiwaza kweli dunia hii ina wanawake wazuri walioshushwa kama zawadi katika dunia hii.

Pm raha sana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpendwa ndio kamba unazowafunga wadogo zangu humu!!! Ama kweli pm kuna mambo!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpendwa ndio kamba unaxowafinga wadogo zangu humu!!! Ama kweli pm kuna mambo!
Mimi sinakipaji cha kuchora, lakini hisia zilinipeleka mbali sana nikaichora sura yako. Sura yako inavutia sana hasa nilipochora macho yako mazuri na mashavu yenye tabasamu kama kwenye avatar yako.

Just imagine, Jf hatuonani lkn nimeichora picha yako nzuri. Nikutumie pm?
 
Nilidhani Mimi tu ambae sijawahi tumiwa PM kumbe tuko wengi


Haya mdada mmoja aje atoe mkosi PM kwangu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naisubiri hiyo picha.
 
Mkuu hyo PM naonaga tu raia wa JF wakiitana lkn Mimi cjawahi itwa wala kumwita yeyote. Cpajui PM[emoji28]
 
Hivi pm si kinyume cha Am ile ya saa 12-23pm au kuna nyingine? Hio pm ya huku naona inawasu Wanawake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…