Wale ambao toka ujiunge jf hujawahi kukutana na member yoyote

Huyo atakuwa kilaza mkuu alikuwa na haja gani ya kukupiga picha wakati unatumia verified I'd
 
Haiwezi kuwa sababu, mbona mimi na lisura langu libaya naonana nao tu
Hawajiamini au wao ndo marafiki wabaya. Kuna mawafiki wazuri Sana humu jf mafurushi pia yapo ya kutosha ni wewe mwenyewe kujua unataka kujihusisha na watu wa namna gani
 
Huyo atakuwa kilaza mkuu alikuwa na haja gani ya kukupiga picha wakati unatumia verified I'd
Ndio hapo niliposhangaa,halafu kapiga picha bila kuniambia,tatizo kuwaba hakua makini kuishikilia simu yake.
Kuna member humiu ndani wanafanya kitu inaitwa incorrect supposition kama sikosei jina la kitaalamu wanatumia hilo,ukijiingiza tu umeumia.
 
Hili pia linawezekana, lakini wapo wale wasiopenda kujichanganya wanataka kutenganisha maisha yao ya nje na ya humu
Hawajiamini au wao ndo marafiki wabaya. Kuna mawafiki wazuri Sana humu jf mafurushi pia yapo ya kutosha ni wewe mwenyewe kujua unataka kujihusisha na watu wa namna gani
 
Wengine jf inatupa mpunga tunapiga biashara za hapa na pale kuona sio uovu kabisa kwetu ila kaz ipo kwa wachakataji
 
We know each other and u remember where we met in Zanzibar
Sasa watu kama ninyi ndio mnafanya watu waogope kuonana na watu hamjui kuheshimu privacy za watu. Hivi kwa mfano kama mlionana kweli na yeye hataki ijulikane kuwa mlionana si unamletea tabu?
 
Ndio hapo niliposhangaa,halafu kapiga picha bila kuniambia,tatizo kuwaba hakua makini kuishikilia simu yake.
Kuna member humiu ndani wanafanya kitu inaitwa incorrect supposition kama sikosei jina la kitaalamu wanatumia hilo,ukijiingiza tu umeumia.
Mkuu mi ninachojua jf ni kijiwe Cha state machinery never mess up with anyone by virtue of mere trust itakula kwako Bora nyie verified kidogo mko salama kwa Ben sanane ulikuwa ni ujinga mkubwa kumpoteza !!
 
Wengine jf inatupa mpunga tunapiga biashara za hapa na pale kuona sio uovu kabisa kwetu ila kaz ipo kwa wachakataji
Team praise power hamna shida msala uko kwetu
 
Mkuu mi ninachojua jf ni kijiwe Cha state machinery never mess up with anyone by virtue of mere trust itakula kwako Bora nyie verified kidogo mko salama kwa Ben sanane ulikuwa ni ujinga mkubwa kumpoteza !!
Kabisa ndio maana inahitaji kiuwa makini sana.
 
Sasa watu kama ninyi ndio mnafanya watu waogope kuonana na watu hamjui kuheshimu privacy za watu. Hivi kwa mfano kama mlionana kweli na yeye hataki ijulikane kuwa mlionana si unamletea tabu?
Unadhani Mimi kilaza ? Ha ha ha I know which line I shouldn't cross !!
 
Sasa watu kama ninyi ndio mnafanya watu waogope kuonana na watu hamjui kuheshimu privacy za watu. Hivi kwa mfano kama mlionana kweli na yeye hataki ijulikane kuwa mlionana si unamletea tabu?
Sio mzima huyo ananitafutia ban.
 
Ni ushamba tu kwani mademu wa uku wana tofauti gani na waliopo mtaani? mimi nakumbuka nilikutana na mwanasheria, fund wa magari maana kuna gari yangu moja ilikuwa ikinisumbua zaidi ya biashara sina muda na mtu.
 
Nikutane na member yeyote? hata sijawahi fikiria jina feki, sura feki sasa kitu gani kifanye nionenae?
 

Ni mwiko kuonana na yeyote JF!

Ni mwiko walionizunguka kujua kama nipo JF by any means whatsoever!

PM ni very dangerous corner!

Na strongest VPN money can buy!

Plus,fvck kujuana and shit!
 

Nothing in JF you cant get offline!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…