Wale ambao tulishawahi kuaibika kwa kujiangalia kupitia madirisha ya vioo (Ya Aluminum) tukutane hapa ili tuache pamoja

Wale ambao tulishawahi kuaibika kwa kujiangalia kupitia madirisha ya vioo (Ya Aluminum) tukutane hapa ili tuache pamoja

Jackson94

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2016
Posts
492
Reaction score
560
Mimi nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2008 nikiwa katika pita pita zangu nikafika kwenye mjengo mmoja wa maana ulikuwa na madirisha ya vioo vile vyeusi si nikaanza kujiangalia vile vioo huku nikiwa najikenurisha mara bila kujua kuwa kumbe ndani kuna mtu ananitizama mara gafla lile dirisha likafunguliwa weee kidogo nizimie asee maana kilikuwa ni kitendo cha kushtukiza.
Je wewe hii hali ilipokutokea ilikuwaje??
images.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mwaka juzi, ilikua likizo, sasa nimetokaa home, niko mtaan naenda town centre. Si nkaona km sehem panauma usoni, kugusa hivi km kipelee, nkasogea nyumba ya mtu yenye tinted ili nijikamue huku naangalia.

Ile najikamua had nkamaliza, mara dirisha linafunguliwa, mtoto anasema Poleee. Aseeh nlistuka na kusikia aibu.

Sema alikua mtoto, sio mbaya sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mwaka juzi, ilikua likizo, sasa nimetokaa home, niko mtaan naenda town centre. Si nkaona km sehem panauma usoni, kugusa hivi km kipelee, nkasogea nyumba ya mtu yenye tinted ili nijikamue huku naangalia.

Ile najikamua had nkamaliza, mara dirisha linafunguliwa, mtoto anasema Poleee. Aseeh nlistuka na kusikia aibu.

Sema alikua mtoto, sio mbaya sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣
 
Nipo nakutafuta apo kwenye kioo sikuoni, au umekatoa mtandaoni hako kapicha?
 
Michezo ya binti mmoja hapa nyumbani anajikenulisha,mara anaanza kutembea ki miss, dirisha la sebuleni hivyo,sijui anawazaga nini!
 
Michezo ya binti mmoja hapa nyumbani anajikenulisha,mara anaanza kutembea ki miss, dirisha la sebuleni hivyo,sijui anawazaga nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anataka kuwa miss.
 
Huku kwetu bado tunatumia madirisha ya nondo, nyavu na pazia mkuu....
 
Back
Top Bottom