steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
mkenya nini?
afu madem wakenya wanatukubali sana . kuna mmoj alinipenda kumbe mimi sijui.. ila baadae nikashtukia ananipa sana attentiona. nikamkunja kwenye lodge za sinza amerudi kwao kaolewa ila bado ananitafuta manake kichapo nilichompaga nilikuwa na ugwadu balaa. afu bonge la demu nikaona hapa inabidi niweke heshima.
wakenya oyeeee,
japo bado hawawazidi watanzania.
Yap mkuu, alikuwa ni mkenya, alikuwa mwembamba, mrefu, mweusi mtamu sanaaaa