Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
Scenario 1;
Mwaka 2016, Novemba, Dar es Salaam, Sinza, lodge ya Twiga:
Tulikuwepo tupo mitaa ya Katalaunya pale na wanangu km watano hivi tunakula maji/pombe za kutosha. Ilivyofika mishale ya saa 3 usiku, kuna manzi mmoja alikuwepo anawinda pale anakunywa soda..mzuri kishenzi..zigo haswa,, nikamuita akatujoin..siunajua tena malaya wa Sinza anajifanya anasoma Ardhi, kumbe anawinda..Anajifanya anaongea kikristo tu (english) ili tumuamini anasoma kweli ili atupige vizuri. Mishale ya saa 5unusu tukaingia calabash pale..tukapiga za kutosha sana,, demu kala savanah kawaka kishenzi. Mfukoni nikaanza kuyumba..nikabakia na 50 tu, wana nao kila mmoja ana ratiba nying siunajua weekend tena.. huyu anataka kwenda triple 777, mwingine 40 40 vurugu tupu ilimradi kila mtu apate wa kuosha rungu. Nikamwambia msomi fake wa Ardhi twende zetu tukapumzike siye. Tukaingia Lufungila kituoni, km twaja meeda tukaingia opposite na kanisa la kakobe..Kitu Twiga Lodge hiyo..Kila mtu kawaka.. Mtoto kazama chumbani, Kabla sijamsaula,demu kanichana mm sipigwagi bure..nikamuuliza unataka sh ngap..nataka laki 2, nikasema No, ntakupa, laki na nusu Kakasema Poa. baada ya kulipa chumba, Mfukoni nimebakia na elfu 10..Basi tumetafunana kwelikweli...Saa 2 Asubuhi nikamstuka, nikavaa fasta..nikaiweka ile elfu 10 juu ya kitanda ili akimka tu aione itakuwa nauli yake, nikachukua funguo ya gari nikasepa...
Nilimkimbia kwakuwa that night sikuwa na pesa..but miye nipo mwaminifu sana tukikubaliana.. sema laki na ns nayo kubwa sana kwa 1 night labda km unapewa na kashata..hahahhhah.. Samahani sana mwanafunzi fake wa Ardhi..sema kwa kikristo/english kile mtu anaweza ingia kingi.
Ebu tupe na wewe experience YAKO vip hujawahi kumkimbia mtu bar..au lodge kutokana na bili kuwa kubwa..
na wanawake ambao unakimbiaga madanga kabla halijakula..ebu tiririka hapa au umekula sana za mwanaume bado unamkwepa funguka
NIGUSE NINUKE
BLINDSPOT
Mwaka 2016, Novemba, Dar es Salaam, Sinza, lodge ya Twiga:
Tulikuwepo tupo mitaa ya Katalaunya pale na wanangu km watano hivi tunakula maji/pombe za kutosha. Ilivyofika mishale ya saa 3 usiku, kuna manzi mmoja alikuwepo anawinda pale anakunywa soda..mzuri kishenzi..zigo haswa,, nikamuita akatujoin..siunajua tena malaya wa Sinza anajifanya anasoma Ardhi, kumbe anawinda..Anajifanya anaongea kikristo tu (english) ili tumuamini anasoma kweli ili atupige vizuri. Mishale ya saa 5unusu tukaingia calabash pale..tukapiga za kutosha sana,, demu kala savanah kawaka kishenzi. Mfukoni nikaanza kuyumba..nikabakia na 50 tu, wana nao kila mmoja ana ratiba nying siunajua weekend tena.. huyu anataka kwenda triple 777, mwingine 40 40 vurugu tupu ilimradi kila mtu apate wa kuosha rungu. Nikamwambia msomi fake wa Ardhi twende zetu tukapumzike siye. Tukaingia Lufungila kituoni, km twaja meeda tukaingia opposite na kanisa la kakobe..Kitu Twiga Lodge hiyo..Kila mtu kawaka.. Mtoto kazama chumbani, Kabla sijamsaula,demu kanichana mm sipigwagi bure..nikamuuliza unataka sh ngap..nataka laki 2, nikasema No, ntakupa, laki na nusu Kakasema Poa. baada ya kulipa chumba, Mfukoni nimebakia na elfu 10..Basi tumetafunana kwelikweli...Saa 2 Asubuhi nikamstuka, nikavaa fasta..nikaiweka ile elfu 10 juu ya kitanda ili akimka tu aione itakuwa nauli yake, nikachukua funguo ya gari nikasepa...
Nilimkimbia kwakuwa that night sikuwa na pesa..but miye nipo mwaminifu sana tukikubaliana.. sema laki na ns nayo kubwa sana kwa 1 night labda km unapewa na kashata..hahahhhah.. Samahani sana mwanafunzi fake wa Ardhi..sema kwa kikristo/english kile mtu anaweza ingia kingi.
Ebu tupe na wewe experience YAKO vip hujawahi kumkimbia mtu bar..au lodge kutokana na bili kuwa kubwa..
na wanawake ambao unakimbiaga madanga kabla halijakula..ebu tiririka hapa au umekula sana za mwanaume bado unamkwepa funguka
NIGUSE NINUKE
BLINDSPOT