Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

ivi kumbe madem wanaokaaga bar wanakunywa soda hua wanawinda eeh?
 
Me nlikua naishi mwananyamala kwa kopa mwaka 2007, tumepanga nyumba ya "slope" chumba kimojakimoja wapangaji tulikua kama 8 hivi. Kuna dem m1 mpangaj alikua mwanangu sana. Nilikua nang'oa malaya nazama nae geto napiga afu bada3 anakuja kama kufumania anajifanya dem wangu. Hapo unakuta dem anaondoka kwa jazba na anashukuru hajapigwa na nguo zake kavaa....

Nimekula wengi sana kwa style hyo
 
Nimekumbuka kuna jamaa yangu aliwahi enda na dem Hotel, tukachukua room double sasa nikiwa kitandani kwangu naskia jamaa anamwambia dem si uweke, dem kakazana weka wewe, mwisho wa siku jamaa kamwambia huyo dem shika uweke wewe dem kamwambia mbona siioni mi naona mkono, kumbe hicho anachokiita mkono ndo mashine yenyewe.
Sasa story yako imenikumbusha that day Mrs Jr.[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Me nlikua naishi mwananyamala kwa kopa mwaka 2007, tumepanga nyumba ya "slope" chumba kimojakimoja wapangaji tulikua kama 8 hivi. Kuna dem m1 mpangaj alikua mwanangu sana. Nilikua nang'oa malaya nazama nae geto napiga afu bada3 anakuja kama kufumania anajifanya dem wangu. Hapo unakuta dem anaondoka kwa jazba na anashukuru hajapigwa na nguo zake kavaa....

Nimekula wengi sana kwa style hyo
Huyo manzi hujawahi kumlaa!??
 
Me nlikua naishi mwananyamala kwa kopa mwaka 2007, tumepanga nyumba ya "slope" chumba kimojakimoja wapangaji tulikua kama 8 hivi. Kuna dem m1 mpangaj alikua mwanangu sana. Nilikua nang'oa malaya nazama nae geto napiga afu bada3 anakuja kama kufumania anajifanya dem wangu. Hapo unakuta dem anaondoka kwa jazba na anashukuru hajapigwa na nguo zake kavaa....

Nimekula wengi sana kwa style hyo
hahahahahaa...sasa wewe balaaaa
 
Rafiki yangu mmoja niliemfahamu sana kutoka Canada aliwahi kuniambia na hapa nam quote "If you are too lazy to search a beautiful for yourself..... they will award you a streetwalkers" kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa ikiwa utakuwa mvivu wa kutafuta msichana mrembo wewe mwenyewe...... watakuzawadia mzururaji" Mwaka flani nimeenda kikazi Mwanza, Kampuni ililipa tiketi ya ndege kwenda na kurudi ila mimi nilizama ofisini kwao nikadai cancellation wakanilipa cash ingawa walikata hela kidogo changanya na posho nikawa na hela sio haba mfukoni. Alfajiri ya siku inayofuata nikawahi isamilo. Nimeingia Dar mida ya saa tano na nusu hivi usiku nikawahi shekilango nikazama pale Rombo Green view hotel, nimefika pale security wa mlangoni akanichangamkia si haba maana na yeye ni mwenyeji mwanza. Akanishauri kwa vile mwili umechoka na safari anitafutie mdada angalau wa massage, nikamwambia poa. Saa saba hivi hodiiiii. kufungua ni mdada amesimama nikamkaribisha ndani washa taa, duuuuuuuuu!!!!!!! miguuu imejaa vumbi, mwili umedhoofu sana, Basi karibuu. "Ahsanteee" aiseeee!!! sauti kama mwanaume ama zaidi, mdomo hauna meno kabisaa. Jibu ni moja tu nimeletewa Street walker. Cocain changanya na heroin changanya na Gongo unapata matokeo ya hatari sana.Nikavuta wallet toa mwekundu mmoja ahsante kwa kuja ila naomba nipumzike akanishukuru na kuondoka. Nicolas popote ulipo Canada nakukumbuka sana aisee!!
 
We we we weeeeeeh!! Hiyo hatari sana. Nishamtoloka mdada gesti nikasahau nguo za mke wangu, acha wewe!! Nae akaondoka nazo, ilikuwa baraha sana. Halafu mke wa mtu, namfataje kudai, huku wife ni motooooo!! Hoya usinikumbushe hayo mambo tafadhari.
 
Ila wanaume wachafu sana. Unajua kabisa mtu anajiuza na wewe unaenda kuosha rungu lako hapo hapo. Hivi hamuwazagi muda anakuja kukuwinda wewe ametoka kulalwa na mteja mwingine tena utakuta hata hajaoga
Ile kitu haina makombo ati
 
Mwaka w025 huu. Kutokea 05 Nov 2019, hakuna update yoyote wakuu? Au mmeshazeeka sasa??
 
Back
Top Bottom