Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Wale ambao tumeshawatoroka mademu Alfajiri hoteli/guest au kuwatoroka Bar ili kuogopa bili kubwa: Tukutane HAPA

Nyakati fulani nilikua sehemu moja inaitwa Hungumalwa-Mwanza, basi weekend nikasema niende town. Kuna club moja inaitwa Rockbottom. Nikaparty sana nikamuona mtt mmoja mkali sana, basi nikajoin, tukapiga mtungi hadi saa 10, mimi hali niko hoi, na asubuhi nilipashwa kufanya manunuzi fulani, basi nikamchomoa 'mrembo', tukafika hoteli moja inaitwa Isamo, Room kuambiwa imebaki suit tu 50, nikabargain na receptionist kwa hoja kua time hii almost kumekucha, nikaclear 30, nikabaki na 40. Basi yakajili yakujili room , sema niligundua yule binti amelewa sana. Nimestuka saa 2 asubuhi, 'mrembo' kazima bado. Basi nikapiga maji, kuondoka nikamuwekea simu yake charge(last night alicomplain haikua na charge na hakua na charger), nikamuachia 20 mezani na namb yangu kwenye karatasi. Mchana wake binti karuka hewani , haamini kilichojiri..hadi leo ni 'mshkaji' wangu sana.. Unfortunately nilinote ni married woman sema ana frastuations za ndoa..
Uza sera[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nyakati fulani nilikua sehemu moja inaitwa Hungumalwa-Mwanza, basi weekend nikasema niende town. Kuna club moja inaitwa Rockbottom. Nikaparty sana nikamuona mtt mmoja mkali sana, basi nikajoin, tukapiga mtungi hadi saa 10, mimi hali niko hoi, na asubuhi nilipashwa kufanya manunuzi fulani, basi nikamchomoa 'mrembo', tukafika hoteli moja inaitwa Isamo, Room kuambiwa imebaki suit tu 50, nikabargain na receptionist kwa hoja kua time hii almost kumekucha, nikaclear 30, nikabaki na 40. Basi yakajili yakujili room , sema niligundua yule binti amelewa sana. Nimestuka saa 2 asubuhi, 'mrembo' kazima bado. Basi nikapiga maji, kuondoka nikamuwekea simu yake charge(last night alicomplain haikua na charge na hakua na charger), nikamuachia 20 mezani na namb yangu kwenye karatasi. Mchana wake binti karuka hewani , haamini kilichojiri..hadi leo ni 'mshkaji' wangu sana.. Unfortunately nilinote ni married woman sema ana frastuations za ndoa..
Uza Sera[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
siwez hata kusimama na dem mbovu km ww...sinimekwambia ulivyo..ww hufai hata kwa kusuuza rungu.
na umbo lako km simba yote tisa kumi hilo nyonyo hapo kifuani km umerogezewa....wew dem mbaya bna..na bila shaka hata wanaokutia wanakufunika tambala usoni.
Umesema kweli bro,I can feel hilo nyonyo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nishawah kumtoroka demu asubaa ile naingy kwenye kosta kama kawa nkawah siti ya mbele kufika mbele kdg lahaula nae anasimamisha hy hy kosta hahaha nilichanganyikiwa nkajikuta namuambia dereva huyo haendi huyo.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ha ha ha ha ha ……
 
Nimesoma reply zote ila sijaona mwanamke aliekubali kwamba kaliwa AFU KAKIMBIWA


Eti wote wametukimbia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa ujanja gaaan
hahahahahha...wanawake hawasemagi udhaifu wao
 
d
huyu manzi bhana ilitokea tukasafiri basi moja na tukafika usiku...

pale×2 stand ya bus kiulaini nikajiopolea;Sasa ile guest tuliyofikia bafu lake lipo kwa nje...

kidume nikatangulia kuoga ile asubuhi,nikamshawishi naye akaenda kuoga...akakubali

Sikufanya makosa
hahahahaha..mapema sana
 
Uzi mtamu kichiz.
Niliwahi kumtoroka dem mmoja alilewa akatapika kitandani . Nikaona huu msala niliondoka saa 11 asubuhi akiwa amelala nikawaambia walinzi nawahi usafiri mkoa.
Nilijihisi nimefanya unyama kinoma ila kupitia huu Uzi aiseee kuna watu wamevunja record
 
kuna mshikaji wangu tulikuwa naye tunduma akamtoroka demu guest ... demu asubuhi akajihimu kwa trafic mpemba .akawa anakagua kila gari... ilibidi masela tumpakie mshikaji kwenye lori la mahindi nyuma kwenye magunia hadi vwawa.
 
kuna mshikaji wangu tulikuwa naye tunduma akamtoroka demu guest ... demu asubuhi akajihimu kwa trafic mpemba .akawa anakagua kila gari... ilibidi masela tumpakie mshikaji kwenye lori la mahindi nyuma kwenye magunia hadi vwawa.
Hakumlipaa nin!???[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwa hiyo unamkula wife wa mtu kumpunguzia frustrations?
Hapana mkuu, nilipiga mara moja tu.. baada ya kugundua ni wife wa mtu sikua na hamu. Huwa sipigi mke wa mtu. Hiyo ni principle yangu..
 
Back
Top Bottom