Thailand 2012,nimeingia mji wa watu sina hata wiki,kuna mdada alikuwa rafiki wa demu wa mshkaji wangu,bas nikawa namnyapia mdogomdogo,demu anajifanya haelewi somo, ,sku tukakutana kene party night kali nikaforce kumsindikiza hotelini kwake,kufika ndani shosti ananikazia,baadae ananambia anataka hela kwenda shopping kesho yake,mie hapo uchu umepanda akili imehamia kichwa cha chini.nkamuuliza shingapi akanambia 250$,nkamwambia mbona ndogo hyo ntakupa 500$mtoto mzuri,bas mtoto akalegea tukafanya yetu,sasa kimbembe kulipokucha,demu ananiamsha nimpe hela aende shopping,akili sasa imerudi najuta kwanini niliahidi kutoa mieala yote hyo.nlichofanya nikampa kadi ambayo najua haina sumni na siitumii tena, nkajifanya bado nina usingizi nkampa na password nkamwambie akatoe then anipitie tuondoke,nkijua fika ATM ya karibu iko kilomita mbili kutoka tulipo,alipotoka na mie nkaamsha zangu.basi demu wacha amaindi miksa matusi,anaanza kutoa vitisho kuwa kashatafuta wahuni wananisaka wanifanyizie,mie foreigner tu,siwezi muingiza mjini.bahti nzuri huo mji nlikuwa napita tu baada ya wiki nikaamsha zangu.