Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Jirani wewe mzuri sana...Ndiyo jirani,duniani wawiliwawili 😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirani wewe mzuri sana...Ndiyo jirani,duniani wawiliwawili 😉
Mbona nilikuja Jana jioni kukileta ulinigomea kufungua mlango jirani....sitaki hizo sifa😔Jirani wewe mzuri sana...
Jirani nina Avator yako full, umependeza sana...Mbona nilikuja Jana jioni kukileta ulinigomea kufungua mlango jirani....sitaki hizo sifa😔
😳Wee,usinitanie jirani,we si umesema huwez niona nimependeza mpaka nipake breach 🤦Jirani nina Avator yako full, umependeza sana...
Siyo hivyo Jirani... Vyoyote unapendeza...😳Wee,usinitanie jirani,we si umesema huwez niona nimependeza mpaka nipake breach 🤦
Eti kisahani🙄 Ndo utapambana na twende kilioniSiyo hivyo Jirani... Vyoyote unapendeza...
Nilichosema napenda mwanamke akiweka bleach pia, ile juu kama kisahani bleach pembeni zinakua nyeusi...
Hapa nahisi nililogwa. Mpaka nikapata na cheo Cha uenyekiti.....ila nilikuwa nawakimbiza mchakamchaka hawapoi. Sikuwa naangalia jinsia nikiamua kushika namba 1 nashika. Kuna kipindi ilikuwa ili wajue mtu wa kwanza amepata ngapi lzm waone kwanza Pepa yangu.Back bencher msinziaji mkuu wa darasani muda wote nasinzia tu