Wale mliofungiwa NIDA zenu (Blacklist) na TCRA kusajili line mpya njooni hapa mtoe shuhuda zenu na jinsi mlivyopata solution

Wale mliofungiwa NIDA zenu (Blacklist) na TCRA kusajili line mpya njooni hapa mtoe shuhuda zenu na jinsi mlivyopata solution

TPKitula

Senior Member
Joined
Nov 9, 2022
Posts
125
Reaction score
80
Mimi ni kiongozi wa timu za usajili wa line mpya. Hivi karibuni kumetokea wimbi la wateja wengi wanaotaka kusajili line mpya na vitambulisho havijajaa lakini wanaambiwa (nin blacklisted). Je wewe ni mmoja wao? Na je ulitumia njia gani kuondoa tatizo hilo?

Karibu utuelezee ili na wengine wenye tatizo kama lako wasaidike?
 
Mtoa mada wewe utakuwa ni wale raia tuma kwa namba hii
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
 
Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu

Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu

Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
 
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Unatakiwa uwaeleze waende TCRA
 
Mtoa mada wewe utakuwa ni wale raia tuma kwa namba hii
si kweli wakati mwingine hata ukiwachek nida au tcra wanakwambia onana na mitandao ya simu sasa kwenye mitandao watachek tarifa zako zote unakuta hakuna tatizo hapo unawaza.
 
si kweli wakati mwingine hata ukiwachek nida au tcra wanakwambia onana na mitandao ya simu sasa kwenye mitandao watachek tarifa zako zote unakuta hakuna tatizo hapo unawaza.
Ndio maana nikaona nije kwenu great thinkers tuwasaidie wateja wetu
 
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Mtoa huduma gani ambaye huwauliza wateja wake nn Cha kufanya !!!Mtoa huduma aliyesajiliwa official hawezi kushindwa kuwa na access ya kutatua changamoto za namna hii
 
Mtoa huduma gani ambaye huwauliza wateja wake nn Cha kufanya !!!Mtoa huduma aliyesajiliwa official hawezi kushindwa kuwa na access ya kutatua changamoto za namna hii
Asante kwa maoni yako. Ubarikiwe.
 
Back
Top Bottom