Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.Mtoa mada wewe utakuwa ni wale raia tuma kwa namba hii
Ulishawahi kukumbana na kadhia hiyo?nadhani sehemu sahihi ya kuanzia ni tcra halafu unamalizia nida.
Hiyo inaweza kuwa sababu?Tuma kwenye hii namba ile inamatatizo🤣🤣
Je ni njia gani muhanga anaweza kutumia ili kusolve hilo tatizo?Ukihusika kusambaza ujumbe wa tume ile hela hapa lazima NIN ifungiwe
Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibuJe ni njia gani muhanga anaweza kutumia ili kusolve hilo tatizo?
Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu
Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu
Mimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.Umetumika kututapeli hivyo jipeleke huko TCRA watakupa utaratibu
Unatakiwa uwaeleze waende TCRAMimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
si kweli wakati mwingine hata ukiwachek nida au tcra wanakwambia onana na mitandao ya simu sasa kwenye mitandao watachek tarifa zako zote unakuta hakuna tatizo hapo unawaza.Mtoa mada wewe utakuwa ni wale raia tuma kwa namba hii
Ndio maana nikaona nije kwenu great thinkers tuwasaidie wateja wetusi kweli wakati mwingine hata ukiwachek nida au tcra wanakwambia onana na mitandao ya simu sasa kwenye mitandao watachek tarifa zako zote unakuta hakuna tatizo hapo unawaza.
Sawa mkuu asante sana ubarikiweUnatakiwa uwaeleze waende TCRA
Mtoa huduma gani ambaye huwauliza wateja wake nn Cha kufanya !!!Mtoa huduma aliyesajiliwa official hawezi kushindwa kuwa na access ya kutatua changamoto za namna hiiMimi ni mtoa huduma ambaye ninakutana na watu wenye tatizo hilo mara kwa mara. Ndio maana ninajaribu kuchukua uzoefu wenu wa kusolve hilo tatizo ili niweze kuwasaidia wahanga ikibidi.
Asante kwa maoni yako. Ubarikiwe.Mtoa huduma gani ambaye huwauliza wateja wake nn Cha kufanya !!!Mtoa huduma aliyesajiliwa official hawezi kushindwa kuwa na access ya kutatua changamoto za namna hii