Wale mliomponda Habib Kiyombo kuwa hajui na Simba SC imechemka Kumsajili mmeona leo anayejua Mpira Kocha Paulsen amemuita Taifa Stars?

Wale mliomponda Habib Kiyombo kuwa hajui na Simba SC imechemka Kumsajili mmeona leo anayejua Mpira Kocha Paulsen amemuita Taifa Stars?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nami nawaambieni hapa hapa kuwa huyu Habib Kiyombo akituliza tu Akili na Kuacha Kucheza kwa Presha na Kujiamini atakuja kuwa Bonge la Mshambuliaji tena hata kuliko tuliokuwa na tulionao kwa sasa.

Ukitaka kujua vyema Shughuli yake Uwanjani watafute Mabeki akina Yanick Bangala na Dickson Job ambao aliwatoa sana Pumu (Aliwatesa) hadi Kujichanganya katika Derby ya hivi Majuzi ambapo Simba SC ilifungwa kwa Msaada wa Wasaliti 9 walioko Klabuni Simba SC.
 
Nami nawaambieni hapa hapa kuwa huyu Habib Kiyombo akituliza tu Akili na Kuacha Kucheza kwa Presha na Kujiamini atakuja kuwa Bonge la Mshambuliaji tena hata kuliko tuliokuwa na tulionao kwa sasa.

Ukitaka kujua vyema Shughuli yake Uwanjani watafute Mabeki akina Yanick Bangala na Dickson Job ambao aliwatoa sana Pumu (Aliwatesa) hadi Kujichanganya katika Derby ya hivi Majuzi ambapo Simba SC ilifungwa kwa Msaada wa Wasaliti 9 walioko Klabuni Simba SC.
Kiyombo ni mchezaji mzuri sana ila Poulsen hamna kocha pale. Yeye anachofanya ni kutazama mechi mtu akicheza vizuri anamuita na anaingia timu ya Taifa kikosi cha kwanza. Hafanyi nuturing ya wachezaji kabisa.
 
Uyu kocha amekaa Tanzania Kwa miaka mingi sana anacho kifanya ni kucheza na akiliza watanzania. Ameshajua Simba na Yanga zinaushawishi katika Mpira wetu Sasa Ili kuondoa lawama anaita kwenye timu ata Mizigo Ili mradi mashabiki wa izi timu wafurahi na yeye kitumbua chake kiwe salama.
Kwa mtu mwenye maadili ya taaluma ya soka uwezi ukamwita Mkude au Kyombo Kwa viwango Walivyo onyesha Kwa Sasa.
 
W
Nami nawaambieni hapa hapa kuwa huyu Habib Kiyombo akituliza tu Akili na Kuacha Kucheza kwa Presha na Kujiamini atakuja kuwa Bonge la Mshambuliaji tena hata kuliko tuliokuwa na tulionao kwa sasa.

Ukitaka kujua vyema Shughuli yake Uwanjani watafute Mabeki akina Yanick Bangala na Dickson Job ambao aliwatoa sana Pumu (Aliwatesa) hadi Kujichanganya katika Derby ya hivi Majuzi ambapo Simba SC ilifungwa kwa Msaada wa Wasaliti 9 walioko Klabuni Simba SC.
Wewe kweli boya kama huyo kocha.

Yaani anahita wachezaji 2 wanaocheza namba moja kwenye timu moja huo siyo uboya kweli!

Pale hamu. Kocha
 
Habib kyombo is an average player never expect more from him
 
W
Wewe kweli boya kama huyo kocha.

Yaani anahita wachezaji 2 wanaocheza namba moja kwenye timu moja huo siyo uboya kweli!

Pale hamu. Kocha
Anahita ndiyo Kiswahili gani hiki? Pale hamu Kocha ndiyo Kiswahili cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vizuri hujui utaweza kweli Kupambana nami Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person MINOCYCLINE?
 
Anahita ndiyo Kiswahili gani hiki? Pale hamu Kocha ndiyo Kiswahili cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vizuri hujui utaweza kweli Kupambana nami Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person MINOCYCLINE?
Boya unasemaje?
 
Back
Top Bottom