Wale Mliosoma Kitabu cha Poor Dady Rich Dady Miaka 10 iliyopita sasa hivi mna miliki Bilioni Ngapi ngapi?

Wale Mliosoma Kitabu cha Poor Dady Rich Dady Miaka 10 iliyopita sasa hivi mna miliki Bilioni Ngapi ngapi?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Si vibaya tukapeana mrejeshi ili kutoa hamasa mwa watu wengine, vijana na wenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.

Miaka 10 hadi 15 iliyopita na pengine zaidi nikiwa Chuoni kulizuka utaratibu wa kujisomea vitabu ili kupata maarifa na kukuza ubongo.

Pamoja na nia nzuri hiyo wasomaji wa vitabu hivyo waligeuka wakawa Matajiri Hewa.

Yaani ukisema hukifahamu au unakijua lakini hujakisoma vijana wenzako walikuona wewe ni mtu usiye serious na maisha na unajijengea msingi wa umaskini.

Wengine walitu label kabisa, utamskia kijana we utakuwa Maskini, soma vitabu vya matajiri.

Ndoto bila matendo( actions) ni sawa na mawazo ya mlevi.

Je mmefikisha bilioni ngapi ngapi kwenye account zenu?
 
Si vibaya tukapeana mrejeshi ili kutoa hamasa mwa watu wengine, vijana na wenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.

Miaka 10 hadi 15 iliyopita na pengine zaidi nikiwa Chuoni kulizuka utaratibu wa kujisomea vitabu ili kupata maarifa na kukuza ubongo.

Pamoja na nia nzuri hiyo wasomaji wa vitabu hivyo waligeuka wakawa Matajiri Hewa.

Yaani ukisema hukifahamu au unakijua lakini hujakisoma vijana wenzako walikuona wewe ni mtu usiye serious na maisha na unajijengea msingi wa umaskini.

Wengine walitu label kabisa, utamskia kijana we utakuwa Maskini, soma vitabu vya matajiri.

Ndoto bila matendo( actions) ni sawa na mawazo ya mlevi.

Je mmefikisha bilioni ngapi ngapi kwenye account zenu?
1000723957.jpg
 
Nilisoma hicho kitabu na kile cha think and grow rich nikanunua kiwanja kwa mshahara wa laki nne kwa mwezi miaka sita iliyopita.

Hivyo vitabu vinaelezea kwamba kila kitu kinaanza kwenye akili ndio maana wanapata hela nyingi ghafla wanarudi kuwa masikini baada ya mda kwa mfano wastaafu wengi watu wanaobeti watu wanaopata hela za mirathi hivyo ni vitabu vizuri mkuu. Think and grow rich and not work and grow rich lakini pia vimetofautisha kati ya wealthier na richness.

Anyone can be rich but not wealthy because being wealthy is a process.
 
Nilisoma hicho kitabu na kile cha think and grow rich nikanunua kiwanja kwa mshahara wa laki nne kwa mwezi miaka sita iliyopita.

Hivyo vitabu vinaelezea kwamba kila kitu kinaanza kwenye akili ndio maana wanapata hela nyingi ghafla wanarudi kuwa masikini baada ya mda kwa mfano wastaafu wengi watu wanaobeti watu wanaopata hela za mirathi hivyo ni vitabu vizuri mkuu. Think and grow rich and not work and grow rich lakini pia vimetofautisha kati ya wealthier na richness.

Anyone can be rich but not wealthy because being wealthy is a process.
Sio kwa sababu ya kitabu mzee. Watu wananunua hata kwa mshahara wa laki moja
 
Si vibaya tukapeana mrejeshi ili kutoa hamasa mwa watu wengine, vijana na wenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.

Miaka 10 hadi 15 iliyopita na pengine zaidi nikiwa Chuoni kulizuka utaratibu wa kujisomea vitabu ili kupata maarifa na kukuza ubongo.

Pamoja na nia nzuri hiyo wasomaji wa vitabu hivyo waligeuka wakawa Matajiri Hewa.

Yaani ukisema hukifahamu au unakijua lakini hujakisoma vijana wenzako walikuona wewe ni mtu usiye serious na maisha na unajijengea msingi wa umaskini.

Wengine walitu label kabisa, utamskia kijana we utakuwa Maskini, soma vitabu vya matajiri.

Ndoto bila matendo( actions) ni sawa na mawazo ya mlevi.

Je mmefikisha bilioni ngapi ngapi kwenye account zenu?
Sasa kwanini unatusimanga kwani tumekukosea nini sasa😭🤣
 
Si vibaya tukapeana mrejeshi ili kutoa hamasa mwa watu wengine, vijana na wenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi.

Miaka 10 hadi 15 iliyopita na pengine zaidi nikiwa Chuoni kulizuka utaratibu wa kujisomea vitabu ili kupata maarifa na kukuza ubongo.

Pamoja na nia nzuri hiyo wasomaji wa vitabu hivyo waligeuka wakawa Matajiri Hewa.

Yaani ukisema hukifahamu au unakijua lakini hujakisoma vijana wenzako walikuona wewe ni mtu usiye serious na maisha na unajijengea msingi wa umaskini.

Wengine walitu label kabisa, utamskia kijana we utakuwa Maskini, soma vitabu vya matajiri.

Ndoto bila matendo( actions) ni sawa na mawazo ya mlevi.

Je mmefikisha bilioni ngapi ngapi kwenye account zenu?
Dah 🤣dolar saba tu mkuu
 
Sio kwa sababu ya kitabu mzee. Watu wananunua hata kwa mshahara wa laki moja
Mimi sababu yangu ni hyo mkuu kila mtu anasababu yake mimi nilijifunza ku save nilikuwa naweka laki mbili kila mwezi.

Ulishawahi kuona tajiri ambaye chimbuko lake ni hela za kubet licha ya kushinda mabilion au wastaafu au wale wanaouza Mali za ndugu zao baada ya kufariki?
 
Mimi sababu yangu ni hyo mkuu kila mtu anasababu yake mimi nilijifunza ku save nilikuwa naweka laki mbili kila mwezi.

Ulishawahi kuona tajiri ambaye chimbuko lake ni hela za kubet licha ya kushinda mabilion au wastaafu au wale wanaouza Mali za ndugu zao baada ya kufariki?
Hahaah Sawa Mkuu, hongera
 
Hapa kuna point, but can you think only without working on it?
Yeah you can think without working,
Kwa mfano kitabu cha think and grow rich kinasema kwamba tutoe huduma tusifanye biashara kama tunataka kuwa matajiri.

Kabla ya list ya hivi karibuni ya watu wenye hela duniani waliokuwa wanaongoza ni bill gate na markzugberg kwenye list hao watu ni service provider na ndio kampuni zao ziliongoza kuingiza hela kipindi cha korona.

Being rich means you work for money kama hawa white collar job ni rich ndio maana wakistaafu wanapata tabu.

Being wealthy means money work for you kwa mfano unaweza ukaingia Twitter Facebook Instagram na Google hata usiku wa manane hivyo mda wowote wanaingiza hela hata kama wamelala.
 
Back
Top Bottom