Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,414
- 6,371
Mimi siwezi kuwa na mwanaume 3 years alafu anifuck na condom. Hiyo ni dharau iliyopitiliza.Mkuu mimi nimekutana na hiyo hali muda si mrefu..
Yeye ndo anamind, eti hadi leo niko nae(3 years)..kwanini naendelea tumia condom.
Nikamwambia huogopi mimba. Akasema anataka mtoto wangu.
Nikamuuliza afya zetu je. Akasema anajiamini mpaka kufa labda shida niwe nayo mimi
.
Damnn...!!
Sent From Galaxy S20 Ultra