Wale mliowahi kuagiza magari online

Wale mliowahi kuagiza magari online

Mbona hizo bei ni sahihi tu ila hapo inabidi kuchagua bei with inspection na km utaamua hela kuwaeekea ktk acc yao ya tz iliyopo crdb utaongeza 40$ ya ku reprocess tt to japan na ushuru kulingana na tra calculator plus ghalama nyingine like 800k hapo gari itakuwa mkononi hii kampuni ya beforward ni uhakika haina ubabaishaji office zao kwa dar zipo opposite Ocean Road Hospital na cleaning wanafinya gari yako utaipokelea kurasini kamata kwenye car park yao
Hawa jamaa wameni chaji handling pekee 780,000/=,sijui ni kitugani hicho.
 
Hizo document 9 ndo unasema nyingi ziweke hacha mbwembwe na maneno ya kiswahili. Weka document kuanzia unaagiza mpaka linaingia barabarani acha polojo
Jamaa tatizo ilikua umande ama ngumbaro nini?
Mbona kama hajui kuandika?
Rudi shule aisee tena elimu ni bure kabisa
 
T.R.A Mtatuua!!! Nmepiga hesabu y kimeo chang nlkinunulia huku huku dar, bt kw hz hesab koda ilikuwa almost m 9.5 hiko n ki rav4 tuu cha 2005.
 
kifupi,,bei utayonununulia ndo bei utayolipia kama kodi gari ikifika dar,,,
Ah wapi, hio style ilikuwa zamani kabla ya hiki kiji system chao cha used motor vehicle vauation & calculator.
Siku hizi ishu ni cc za gari na mwaka hilo gari lilipoundwa ndio vinamata.

Hata ukiona gari inauzwa dollar 150 we jua ikifika bandarini utalipia kodi sawa tu ma mtu alienunua gari hio na ya mwaka huo huo dollar 2500.
 
27a8ead64c2800e8be127e4d5aa8e795.jpg


Naomba kuuliza hizi bei Ni kweli?

Je utatibu wao Ni salama hauna utapeli?

Mkuu mimi nimeagiza gar mwenye Be forward japane bla kutipia kwa agent wa hapa.
Hii upate gar lako na lenye ubora sahihi unarakiwa lifanyiwe Insepetion hko hko japani inacost Usd 100.
Pia hzo Gharama n sahihi sana.
 
Back
Top Bottom