Hahaaaa. Kipindi kile ilikuwa hatari Ses.Hahahaa huo uteja hata mimi ninao Shadeeya maana wakati ule jukwaa lilipofungwa tulilifata hadi nchi jirani
Nakumbuka ukimbizini tulikaa kambi moja, nyumba moja.........
Hahahaaa. Jirani mbona hilo Zakazaka lipo siku nyingi au sijakuelewa?Amekuwa zakazaka tena dah
Eid mubarak
Ilikuwa zakaria.Hahahaaa. Jirani mbona hilo Zakazaka lipo siku nyingi au sijakuelewa?
Minal faidhina jirani. Karibu tumalizie vilivyobakia. [emoji12]
Hongera kwa kukata uteja mamii maana saa nyingine inabidi kuangalia na majukumu mengineHahaaaa. Kipindi kile ilikuwa hatari Ses.
Ila mwenzio ushaisha sasa sina uteja wa Jf ndio maana naweza kaa hata siku nzima sijaingia humu.
Hakika usemalo ila bado wewe eee? ππHongera kwa kukata uteja mamii maana saa nyingine inabidi kuangalia na majukumu mengine
Nitajitahidi aisee ShadeeyaHakika usemalo ila bado wewe eee? ππ
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ulitaka uwe ambieleMods wananionea/walinionea nilihesabu namba kwenye sredi wakanimba ban
Zero IQ
l
NaambatanisHa picha View attachment 1119154
Wacha weee. Bora umejijuaNitajitahidi aisee Shadeeya
Hiyo free basic ndo ikoje mkuu?Nimekuwa teja wakatukomoa zaidi wakaleta free basic
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mods wananionea/walinionea nilihesabu namba kwenye sredi wakanimba ban
Zero IQ
l
NaambatanisHa picha View attachment 1119154