Binafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=
Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu😜😜
BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!
Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu😜😜
BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!