Wale tuliofanikiwa kwenye BETTING embu tujuane hapa!

Wale tuliofanikiwa kwenye BETTING embu tujuane hapa!

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Binafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=

Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu😜😜

BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!
 
Binafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=

Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu[emoji12][emoji12]

BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!
Ulikua unabet ki ndezi + tamaa
 
endelea kumtajirisha muhindi bwana mdogo
Screenshot_20230114-174119_Chrome.jpg
 
Binafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=

Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu[emoji12][emoji12]

BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!
Sasa umefanikiwa nini hapa????
 
Back
Top Bottom