Ulikua unabet ki ndezi + tamaaBinafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=
Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu[emoji12][emoji12]
BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!
Wewe unayebet kisungura umefanikiwa je mdau?Ulikua unabet ki ndezi + tamaa
Mhindi saa hizi amekaa anatafuna pariki na Hela za wabongo zinaendelea kimiminika. HahahaEndelea kumtajirisha muhindi
Aaah
Sasa umefanikiwa nini hapa????Binafsi nilikuwa na bet kwa kuweka kumbukumbu kwenye daftari. Yaani nilikuwa na ukurasa wa Hela niliyobetia na ukurasa wa Hela niliyokula. Baada ya miezi kadhaa nikapata nimempa Mhindi Tshs 1,122,000/= na niliyokula ni Tshs 258,174/=
Hakuna kukata tamaa, one day yes Wawekezaji wenzangu[emoji12][emoji12]
BET WHAT YOU CAN AFFORD TO LOOSE!