Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Ujue vitu vingine ni hofu ya Mungu tu inatakiwa iwepo ndani ya mtu awe muwazi.... sikuhiz vitu viingi ni vya kijanja janja Sana ,watu wanafanya kazi Ili wapate maokotoKhee! Haya… bado, mpaka siku mle, mtapike na kuhara maini… mtajifunza kuapply formula kwenye hizo njaa.
Hujawai sikia mboga za majani zinamwagiliwa maji machafu ya viwandani,Michele wanachanganya n.k ukiwasema hao wa nyama na ww ipo tu sehemu umeguswa