Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Ujue vitu vingine ni hofu ya Mungu tu inatakiwa iwepo ndani ya mtu awe muwazi.... sikuhiz vitu viingi ni vya kijanja janja Sana ,watu wanafanya kazi Ili wapate maokotoKhee! Haya… bado, mpaka siku mle, mtapike na kuhara maini… mtajifunza kuapply formula kwenye hizo njaa.
Kwelii mkuuuuuNi uamzi tu mkuu,kwenye mataifa ya wengine huko huenda paka na mbwa ndio hutumiwa km kitoweo #1.
Tulilishwa mpaka maiti za vichangaHaswaaaaaa ....we uoni pwezaaa leohiii mwengee tunapangaa folen na wanawakee
Jamaa akitubadilishiaaa nyama unaachajee
Unajua michicha mingi inatokea mto.msimbazi ushawahi pita ukaona majiyake (usinwambie mtu)mwendowa protein.....Ujue vitu vingine ni hofu ya Mungu tu inatakiwa iwepo ndani ya mtu awe muwazi.... sikuhiz vitu viingi ni vya kijanja janja Sana ,watu wanafanya kazi Ili wapate maokoto
Hujawai sikia mboga za majani zinamwagiliwa maji machafu ya viwandani,Michele wanachanganya n.k ukiwasema hao wa nyama na ww ipo tu sehemu umeguswa
Kwelii mkuuuuu
Niliwahi kuwa Hotel moja Congo tukala breakfast,..tukajaza nyama kama atuli tena jamaa wanatuchora ilipoisha tukaenda kuangalia tulipopakua hazipo tukaita jamaa wakasema 5 mns..aisee kilichokuja staking kukumbuka
Aliletwa NYANII ameshababuliwa anakatwa mbeleyetu nyama zinapangwa pale tulipopakua ..hakuna alierudi tena kama mm nilienda chooni nikaishia chumban
Unataka kulefusha mjadala?Hujawai sikia mboga za majani zinamwagiliwa maji machafu ya viwandani,Michele wanachanganya n.k ukiwasema hao wa nyama na ww ipo tu sehemu umeguswa
😂😂Sawa bhna....nimejaribu kufungua tu kichwa chako uone haya madhara siyo hawa wenzetu tuUnataka kulefusha mjadala?
Nikujibu kwa kifupi…nani amekwambia nakula mboga za kununua? My friend, nimezungukwa na wakulima’ wakulima product za SUA, wanaolima kimaandishi na kiuhalisia…ABC ninazo nyingi sana.
Takataka pekee nayokula ni chips mayai, na soda… na soseji kwa nadra sana
Nyama isiyochakachuliwa mpwa ni hii tuuMpwaaaa Mungu anakuonaaa wallahi uwiiii masterdig
Mkuu pole sana..Hakika nyama zilikuwa tamu aisee..kumbe ni Paka😀😀😀😀Mpwaaa nilikula siku MOJA nikahara mpaka mabandama yakataka Kutoka[emoji24][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Meza Takatifu hii
Haswaaa.mpwaa
Ulijuaje kama ni mbwa?Mpwaaa nilikula siku MOJA nikahara mpaka mabandama yakataka Kutoka[emoji24][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenitoa mate we blaazaaa..!!