Naweza kusoma cpa uku nachukua degree
Nasikia ukiwa na CPA wewe unalipwa si chini ya milioni ni kweli?
CPA ina stage kama tatu hivi, lakin ya mwisho ni "FINAL STAGE" ambayo ina phase mbili, Module E na F. Sasa ili uweze kufanya hii phase (final) inatakiwa uwe na moja kati ya Advanced Diploma ya Account, Degree ya Account au Finance na Module D ambayo wanaitoa wenyewe NBAA.
Kukujibu swali lako ni kua kwanza inategemea unataka kufanya level gani, kama ni final itawezekana tu kama tayari una level ya Module D.
Nasikia ukiwa na CPA wewe unalipwa si chini ya milioni ni kweli?
final kwaiyo mpaka nimalize bachelor
Nimepitia paper ya Auditing sijui wale ambao hawa practice Audit watafaulu vipi! Alafu Contemporary Issues wameua kabisaaa! nina uhakika Qn no. 5 hakuna aliyegusa mnabisha? Hata mimi ningerudishwa sichomoki aiseee!
Watu tunabadilikia humo humo,,,kama vinyonga au Wenger akishauza Captain wake mwanzo wa msimu...as long as kuna wanaofaulu mwisho wa siku..haya mengine stori tu,,watu wameshangaa sana MA pia,walitaka maswali ya direct ya computations...,ha ha
Nasikia ukiwa na CPA wewe unalipwa si chini ya milioni ni kweli?