Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Wadau,
Wale tuliogonga pepa za NBAA leo, poleni sana. Maana kitu cha MA kilisimama sana, na wale wa Module E naona IF ilikua ndefu mno.
Masaa matatu yasingetosha kumaliza yale maswali yote ya IF na zile maksi moja moja zao za kichoyo. Otherwise tusubir end of December!!
Wale tuliogonga pepa za NBAA leo, poleni sana. Maana kitu cha MA kilisimama sana, na wale wa Module E naona IF ilikua ndefu mno.
Masaa matatu yasingetosha kumaliza yale maswali yote ya IF na zile maksi moja moja zao za kichoyo. Otherwise tusubir end of December!!