Wale tuliopata PM za ushindi wa shindano la story of changes na baadae tukaangukia pua njooni tujifariji humu

Wale tuliopata PM za ushindi wa shindano la story of changes na baadae tukaangukia pua njooni tujifariji humu

Nimejifunza wajumbe oops majaji wa JF sio watu wazur 😁🏃‍♀️
😂😂 Majaji wana 60% sisi watu baki tuna 40%..
Halafu wanapiga vya kimyakimya kinaumana siku yao ya mwisho tu!.
 
Hiyo story of change inapatika wapi? Nimeona tu votes ila sijui hata wapi ipo.
 
Mbona siwaoni mlioangukia pua au ni mimi peke yangu? Lol
 
Back
Top Bottom