Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mimi mmojawapo, ingawa ni mapema ila tukubali tu, Pep ni kocha bora duniani. Ni zaidi ya Mourinho maana anakupa na burudani ya mpira, tik tak. Namtakia mema achukue vikombe kuthibitisha hili.Wakuu habari ya leo!
Nawaomba wale tuliombeza Kocha bora kwasasa ulimwenguni kutoka Man City, Pep Guardiola kuwa atachemsha vibaya ndani ya ligi ngumu ya EPL tukutane hapa.
Baada ya mechi 11 za EPL, Pep Guardiola yupo kileleni kwa tofauti ya Point 8 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili.
Pep anapata matokeo katika mechi zake, anapata magoli ya kutosha na pia timu yake inatandaza soka la kuvutia yaani kwakifupi anakufunga bila kubahatisha. Najua ni mapema sana ila nyota njema inaonekana asubuhi!
Wale wote ambao tulimbeza Guardiola njooni hapa tukutane, tutoe ushuhuda!
X-mas is around the corner na Mancity hawachagui wa kumpiga! Chelsea, Napoli, Arsenal, home, away etc! Na wana kikosi kipana sana!Ngoja tuone mpaka x-mass ndo tunaweza kutoa hitimisho
Naunga mkono hoja, Pep anajua bhana!Mimi mmojawapo, ingawa ni mapema ila tukubali tu, Pep ni kocha bora duniani. Ni zaidi ya Mourinho maana anakupa na burudani ya mpira, tik tak. Namtakia mema achukue vikombe kuthibitisha hili.
jana nimekubali kweli pep ni professor wa soka, zile pasi za maudhi walizokuwa wanagongewa arsenal ndani ya box, nikajua kweli jamaa anaujua mpira wa kitabuni kuliko wenger, mana arsenal huwa wanajiona wao ndio wapiga pasi eplMimi mmojawapo, ingawa ni mapema ila tukubali tu, Pep ni kocha bora duniani. Ni zaidi ya Mourinho maana anakupa na burudani ya mpira, tik tak. Namtakia mema achukue vikombe kuthibitisha hili.
jana nimekubali kweli pep ni professor wa soka, zile pasi za maudhi walizokuwa wanagongewa arsenal ndani ya box, nikajua kweli jamaa anaujua mpira wa kitabuni kuliko wenger, mana arsenal huwa wanajiona wao ndio wapiga pasi epl
Ligi huisha may sio November hii au December, kwa hali ilivyosasa Chelsea, Manchester united na Tottenham wote wana nafasi kubwa tuu.
Tusubiri mpaka February hivi akiendelea na moto huu basi tumpatie tuu ubingwa mapema.
Ila jinsi navyoijua EPL Kuna mida ya xmass pale Kuna kuwa na shuguli pevu, mancity anfield pale pia hatotoka na point hata moja kwa speed walonayo Liverpool pia Kuna vitimu kam Burnley siku ukienda kwao wanakuamulia tuu kukutoa jasho.
Nadhani uliangalia mechi ya manCity na westbromiwich wikiendi ile iliyopita walishinda ndio ila kwa tabu tabu Jana pia bila maamuzi flani ya kisenge ya referee labda arsenal wangepata nguvu.
United kila mwaka utasikia kombe letu. mwisho wa msimu hewa tu.Ligi huisha may sio November hii au December, kwa hali ilivyosasa Chelsea, Manchester united na Tottenham wote wana nafasi kubwa tuu.
Tusubiri mpaka February hivi akiendelea na moto huu basi tumpatie tuu ubingwa mapema.
Ila jinsi navyoijua EPL Kuna mida ya xmass pale Kuna kuwa na shuguli pevu, mancity anfield pale pia hatotoka na point hata moja kwa speed walonayo Liverpool pia Kuna vitimu kam Burnley siku ukienda kwao wanakuamulia tuu kukutoa jasho.
Nadhani uliangalia mechi ya manCity na westbromiwich wikiendi ile iliyopita walishinda ndio ila kwa tabu tabu Jana pia bila maamuzi flani ya kisenge ya referee labda arsenal wangepata nguvu.
Kombe watachukua Man United na Chelsea???X mass atakua anaongoza ila kombe hachukui
Atawafunga au atamfunga mmojawapo. United atapigwa tuakiweza kuwafunga man u na spurz basi atakuwa na uhakika wa kuchukua maana atakuwa kawatia gap kubwa sana la point
Atawafunga au atamfunga mmojawapo. United atapigwa tu
akiweza kuwafunga man u na spurz basi atakuwa na uhakika wa kuchukua maana atakuwa kawatia gap kubwa sana la point