Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Wakuu habari ya leo!
Nawaomba wale tuliombeza Kocha bora kwasasa ulimwenguni kutoka Man City, Pep Guardiola kuwa atachemsha vibaya ndani ya ligi ngumu ya EPL tukutane hapa.
Baada ya mechi 11 za EPL, Pep Guardiola yupo kileleni kwa tofauti ya Point 8 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili.
Pep anapata matokeo katika mechi zake, anapata magoli ya kutosha na pia timu yake inatandaza soka la kuvutia yaani kwakifupi anakufunga bila kubahatisha. Najua ni mapema sana ila nyota njema inaonekana asubuhi!
Wale wote ambao tulimbeza Guardiola njooni hapa tukutane, tutoe ushuhuda!
Nawaomba wale tuliombeza Kocha bora kwasasa ulimwenguni kutoka Man City, Pep Guardiola kuwa atachemsha vibaya ndani ya ligi ngumu ya EPL tukutane hapa.
Baada ya mechi 11 za EPL, Pep Guardiola yupo kileleni kwa tofauti ya Point 8 dhidi ya timu inayoshika nafasi ya pili.
Pep anapata matokeo katika mechi zake, anapata magoli ya kutosha na pia timu yake inatandaza soka la kuvutia yaani kwakifupi anakufunga bila kubahatisha. Najua ni mapema sana ila nyota njema inaonekana asubuhi!
Wale wote ambao tulimbeza Guardiola njooni hapa tukutane, tutoe ushuhuda!