Wale tuliosema Guardiola atafeli EPL tukutane hapa

Mimi mmojawapo, ingawa ni mapema ila tukubali tu, Pep ni kocha bora duniani. Ni zaidi ya Mourinho maana anakupa na burudani ya mpira, tik tak. Namtakia mema achukue vikombe kuthibitisha hili.

No doubt he is the best, he is winning by playing attacking, beautiful style of football, combining silk and steel, we wish him and his team well and a lot of success this season.
 
Kama Arsenal vile wasivyotaka kuvunja kiboboooo, wameishia kuwa washiriki wa epl na kutwaa ngao ya hisani!!

Hii mantiki ya kocha bora kufanya kazi na mastaa ipo hata sekta nyingine..., mfano elimu.., shule zinazofanya vyema kuchukua best students tu, ukifaulu chini ya kiwango tupa kuleeee...!!
 
Exactly mkuu!!! Pep ni fundi bwana. Na ufundi wake kaupatia kwa mchezaji wake wa zamani/King Messi.

Inshort bila ya Messi pep angelikuwa wa kawaida sanaa. Mkuu ukiangalia hata tik tack mwanzilishi ni Messi.
Johan cruyff angelikuwa hai na kusoma kituko ulichokiandika hakika angekuja kukupiga mashuti...
 
Kuna watu watamtuliza
Mimi nitakua upande wa man u ili tu wafungwe happy wanaharamu
 
Kama ilivi kwa simba PL, Mancity wanachukua kombe mwaka uu labda wamue kuzembea,
 
Ile ligi ukipoteza mechi ya kwanza na upo kileleni, ikikuvuruga tu vitafuata vipigo na draw. Bado hajapoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…