Safi sana Mkuu na ww kumbe tuko pamoja chama la Makongo duuuuuu.Aisee Senkondo ndio yule jamaa wa misosi au...?. Huyu Afande Master nilimuacha na nyota 2 alikuwa mrembo lakini akikutia mkononi babake, hatari.
Kuna jamaa alikuwa anaitwa Issac tulikuwa nae bweni mshkaji alikuwa DAH acha nisiseme tu mtakuwa mmeshaelewa walengwa.
Ilikuwa ukipelekwa 1MP aisee ukirudi unaambiwa kabisa kapumzike bwenini usiingie class maana kipondo utakachopata pale acha tu.
Namkumbuka Salama Jabir na FILA yake aisee.
Unamalizia Elimu ni Msingi !!! kama sijakosea Ndugu kitambo sana aise.Makongo oyeee!!!!
Makongo oyeeee!!!
Makongo oye....
Alikua mwalimu wa kifaransa alifariki mwaka gani Ndugu?Kombha ni marehemu kwasasa
Teh teh teh Mkuu Makongo ya miaka hiyo ilikua moto sana aise maana nidhamu na matokea yake yalikua mazuri sana kuliko sasahivi imebaki jina tu.Kuna Mtoto wangu alikuwa anatafuna Bazoka ( Big G) alipomuona Askari aliekuwa anawasimamia akiitwa Afande Miraji aliamua kuitema, Yule Afande alimlazimisha aiokote aitie mdomoni then aimeze, Mtoto nae Kwa hofu akatekeleza amri ile ya Kikatili!
Aisee Asubuhi niliamkia Kwa Kanali Kipungu nae ndio wale wale akaona Ni sahihi ile adhabu
Nilimhamisha Shule
Watoto wengi waliishia kuvuta bhangi Au Kuwa Watoro Na wengine wakawa ma Nunda
Makongo ya Miaka ya Mwisho ya 1990 lilikuwa Genge la Wahuni Kama Jitegemee
Sikumbuki ni mwaka gani mkuuSafi sana Mkuu na ww kumbe tuko pamoja chama la Makongo duuuuuu.
Pamoja aise ila kwasasa imebaki jina tu hakuna jipya tena.Sikumbuki ni mwaka gani mkuu
Aise Babu Side alikua safi sana kuna wakina chinga na sisqo idara ya mihogo hiyo duuuuu.Babu side yupo lord baden na kipingu
Babu alikua mcheshi sana yule
Jamaa alikua ana mbwembwe sana.Sikumbuki ni mwaka gani mkuu
We utakua intake moja nami au intake zilofata.sie ndiyo tuliizindua nyambizi mwaka 2000 necta.Kwa wale tuliopitia Makongo kuanzia enzi zabkuvaa kaptura mpaka suruali tukutane hapa kama wahenga tukumbushane ya kihenga kuanzia makundi ya NO LIMIT SOLDIERS, FEHAJ SISTERS....
Bila ya kuwasahau maafande wetu Mzee Kipingu, Marehemu Mzee Yeyeye, Mzee Miraji, Babu Chacha na wengineo na kwa wale waliofariki Mwenyezi Mungu azilaze roho mahala pema pepon.
Kulikuwa na vitu kama NYAMBIZI, majuto garden na kwa wale wenzangu wa bweni hawatawasahau akina MASTER MAYEBE, MSONGOLE, MATAULA, SENKONDO, ANKO PETER na wengineo
Tiririkeni wahenga wenzangu
Naaam...maabara ya kemia..Afande "mkaanga sumu"
Huyo afande atakuwa alikuwa Kapteni kisarikaMimi nishawahi kupelekwa ofisini na Afande mmoja hivi Kapteni ana macho ya kibangibangi nikaambiwa nivue mbele ya walimu wa jinsia zote halafu sasa kifua kina vinyoya flani hivi nilimind kichizi
Safi sana Mkuu na ww kumbe tuko pamoja chama la Makongo duuuuuu.
Ticha kapingaTicha Malongoli wa Addition Math, maarufu kama form 4H
Huyo afande atakuwa alikuwa Kapteni kisarika
Yeah...Huyu jamaa ndio mkono wake wa kulia kama umepinda flani hivi right...?
Siyo kweli mie nimemaliza F4 1994 kulikuwa hakunA hata nafasi ya kuvuta bangi na tulikuwa tunajisomea shule ya msingi makurumula,acha uongo toto lako miaka hiyo lilikuwa vutaji toka nyumbani kwako,Makongo hukuweza kuilinganisha na Jitegemee kwa nidhamu miaka ileKuna Mtoto wangu alikuwa anatafuna Bazoka ( Big G) alipomuona Askari aliekuwa anawasimamia akiitwa Afande Miraji aliamua kuitema, Yule Afande alimlazimisha aiokote aitie mdomoni then aimeze, Mtoto nae Kwa hofu akatekeleza amri ile ya Kikatili!
Aisee Asubuhi niliamkia Kwa Kanali Kipungu nae ndio wale wale akaona Ni sahihi ile adhabu
Nilimhamisha Shule
Watoto wengi waliishia kuvuta bhangi Au Kuwa Watoro Na wengine wakawa ma Nunda
Makongo ya Miaka ya Mwisho ya 1990 lilikuwa Genge la Wahuni Kama Jitegemee
Yeah...