Haludzedzele
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,468
- 530
Yyeah CorandoIle ilikua corando mkuu haikua jeep
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yyeah CorandoIle ilikua corando mkuu haikua jeep
Mwalimu alikua bishoo sana.. AnanataWansanto yupo wapi??
Brayson namkumbuka sana.....Kuna patron alikua anaitwa afande Bry...asee ile staili yake ya kuchapa bakola maarufu kama Amina kadera ilikua ni hatari sana..
Duh pole sanaKumbe wote tumesoma pale
Enzi zetu saa ya kutoka tukikuwa haturuhusiwi kupanda gari pake shuleni ni kupiga "kwata" tu hadi Mwenge
HahahahahahaMimi nishawahi kupelekwa ofisini na Afande mmoja hivi Kapteni ana macho ya kibangibangi nikaambiwa nivue mbele ya walimu wa jinsia zote halafu sasa kifua kina vinyoya flani hivi nilimind kichizi
Hahahahahahaha kulaleki nimecheka balaaaaNani anaukumbuka ufisadi wa Afande Miraji kwenye vitambulisho ?
Alikuwa anatukalisha kwenye benchi watu wanne kwa mpigo na kutupiga picha kicha anakata tu vichwa na kufanya Passport Size
Huyo mrefu si ndiye alikuwa anajiita Master ?Wahuni wengne hawa hapaView attachment 817649
YahHuyo mrefu si ndiye alikuwa anajiita Master ?
Alikuwa anajifanya mbabe sana
Jamaa lilikuwa linapenda kuchapa kinomaAlikuwa anajifanya mbabe sana
Alishaniangushia kichapo nikiwa Form 4
Manyanyaso ya Makongo yalisababisha A Level nichague shule ambayo hakuna bakora ,kunyoana nywele/devu wala kufagia darasa na kukaa mstarini kama mawe
Chacha kiboko .Daa Anko Peter alkuwa noma sana kushika majina ya kila mtu. Miraji akisababisha nikawa nashinda mbezi mana getini kupita ilkuwa mbinde ila Chacha alinikuta bwenini wacha anipe kichapo kazee kale buana kazi yake ilkuwa kukiss tu warembo! Yeyeye mwishon mwisho kabla hajafa (RIP) alkuwa na mitusi mmmmmm dah umenkumbusha mbali sana ili chimbo letu ila lyf goes on
Master Mahebe na Meja MwangasiWahuni wengne hawa hapaView attachment 817649
Nyambizi hyoView attachment 891158
Cheeks wa pande za Sinza kwa Remmy Au?Kitambo sana.master mayebe alinifundisha maths 2001. Kipindi cha wagalatia. Sewaside nation. Palavida camp. Vitus. Rich rich. OG. Afande miraji alikua na usafiri wa baiskeli. Wakati huo naitwa mr cheeks nikiwa na mchizi wangu makaveli . Nikija shule naingilia ktk senyenge na kutoke ktk senyenge sipiti getini. Lebo nilikua nazo 2 kijani na njao mm ni kubandika kwa pin. I was stubborn man.
Nyambizi hyoView attachment 891158