Wale tuliosoma Vitabu vya Ki Academic Tukatoka kapa tukutane hapa

Mr. Marangu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,574
Reaction score
1,549
Natambua uwepo wa mabaharia wote mliosoma Kiswahili na Language kwa upande wa Olevel
Wale wa HGK, HKL, KLF, HGL

Elimu ilitulazimu kusoma baadhi ya vitabu, binafsi nilisoma kitabu kinaitwa "BARUA NDEFU KAMA HII" kile kitabu nuksi sana kimetoholewa kutoka lugha ya kifaransa kiliandikwa na Mwandishi kutoka Senegal MARIAM Ba.
Kile kitabu sikukielewa kabisaaaa
Kingine ni kile cha "Black Hermit"

Cc

yna2
bbade
Bera boy
@Basias
General Mangi
Mother Confessor
comrade kipepe
 
Aisee,.umenikumbusha enzi za "udadavuzi" ngoja nishibe kwanza ugali wangu na udagaa hapa,.ntarudi...🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
kwa kifupi nilikua sipendi kusoma kitabu ,, nilikua napitia summary tu na maswali nilikua mala nyingi naangali yame base wapi basi mi nameza point tu mbele uongo mwingi hahaha dah si mbaya lakin kiswahili na ngeli nilipata credit
 
Mimi nilivielewa, nikavitumia kujibia mitihani na kuvifuta kichwani mwangu.

Knowledge nliobaki nayo kichwani mwangu ni ya profession nliyosomea basii.

Unforgetable
. Mkuu kile cha Barua ndefu kama hii kilikua kimetafsiriwa kiswahili ila ukisoma kurasa 2 unatoka empty
 
Yani hata The Black Hermit kilikuwa tatizo kwako, basi naogopa nitamke neno gani
 
Yani hata The Black Hermit kilikuwa tatizo kwako, basi naogopa nitamke neno gani
Sikua napenda kusoma vitabu, kitabu nilicho soma nakuenjoi ni IS IT POSSIBLE, Pesa zako zina nuka, Vuta nikuvute, Kusadikika...
 
Dah Mariama Ba, umenikumbusha mbali sana. Kitambo hicho niko shule ya boarding huko pande za mbeya nkawa nasoma na jamaa HKL basi siku nimepigika nkamwambia mwanangu anipe kitabu cha hadithi nisome ndo akanipa hiko kitabu BARUA NDEFU KAMA HII ni miongoni mwa vitabu bora sana kuwahi kusoma, nlikitafuta mpaka English version yake inaitwa SO LONG A LETTER sijawahi kukichoka hiki kitabu
 
Ulisoma Meta mkuu?
 
"You son of the bitch,an article of no comercial value, do you think this bus belongs to your grandfather?"
THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN.
-Ai Kwei Amah.
Live long HKL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…