Wale Tulioujua Mji Kwa Sababu ya Totoz Tujikumbushe.....

Wale Tulioujua Mji Kwa Sababu ya Totoz Tujikumbushe.....

RRONDO

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
55,727
Reaction score
123,094
Sio siri mimi jiji hili la Makonda nimezijua sehemu nyingi kwasababu ya kufuatilia papuchi. Pamoja na kuzaliwa mji huu ila kuna sehemu kama sio totoz nisingefika maana hamna sababu yoyote. Totoz zimesababisha nimepajua Chamazi,Mbagala,KitundaMwanagati,Bomu bomu,Yombo Dovya na sehemu kibao ambazo kiukweli nisingefika huko!

Kali siku moja nimeopoa mtoto baada ya kujirusha ikabidi nimrudishe kwao usiku mkubwa, tukaingia mitaa ya kati huko Karakata ndani ndani huko. Baada ya kumshusha wakati narudi ilinichukua kama nusu saa kuipata main road maanake nilipoteza ramani kabisa bahati nzuri kuna gari ikatokea nikasimamisha jamaa akaniambia nifuate nyuma!
 
Dar nazijua sehemu chache... Tanga ndipo napopajua zaidi hata ya Arusha. ila sio watoto wa kike....

Mimi ni mtu wa ndani saana. Nyie viwembe hatuwawezi bhana unatoka kwenu Masaki unawafuata watoto kwa Dampo????
 
Sasa unauhakika gani kama na mimi sikuchokozi mkuu?
Kuelimishana linatakiwa kuwa ni suala la kudumu na endelevu hata kama unanichokoza!....Pia nilichoandika mwingine anaweza kukisoma akapata chakula cha akili na rohoo siyo lazima kila nilichokuquote kikuhusu wewe peke yako!
 
Sio siri mimi jiji hili la Makonda nimezijua sehemu nyingi kwasababu ya kufuatilia papuchi. Pamoja na kuzaliwa mji huu ila kuna sehemu kama sio totoz nisingefika maana hamna sababu yoyote. Totoz zimesababisha nimepajua Chamazi,Mbagala,KitundaMwanagati,Bomu bomu,Yombo Dovya na sehemu kibao ambazo kiukweli nisingefika huko!

Kali siku moja nimeopoa mtoto baada ya kujirusha ikabidi nimrudishe kwao usiku mkubwa, tukaingia mitaa ya kati huko Karakata ndani ndani huko. Baada ya kumshusha wakati narudi ilinichukua kama nusu saa kuipata main road maanake nilipoteza ramani kabisa bahati nzuri kuna gari ikatokea nikasimamisha jamaa akaniambia nifuate nyuma!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] watoto wa uswazi kama siye balaa...karakata huko lazima upotee kama huna ramani
 
Back
Top Bottom