Wale tuliowahi kujilamba Makamasi utotoni tukutane hapa haraka.

Wale tuliowahi kujilamba Makamasi utotoni tukutane hapa haraka.

Fall Army Worm

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
19,355
Reaction score
14,408
Nikiwa mdogo nilikuwa nasikia raha kujilamba Kamasi, hadi Mama alikuwa ananigombeza. Weeee mtoto acha uchafu, Kwanini unalamba makamasi???. Basi taratibuuuu na nyanyua t-shirt au shati langu nililolivaa najipangusa. Nikipiga bancha, makohozi ninayameza, halafu nasikia km matamu vile.Yaani nilikuwa sishituki kabisa.
Ah!!, Utoto raha sana Unaweza kula kila aina ya Uchafu bila kudhurika. Asante Mungu uliyenilinda miaka mingi hadi kufikia sasa nimekuwa mtu mzima ninayejielewa.
 
Mbona msukuma akivuta bangi hawi hivi?
 
Mtoa maada
tenor.gif
 
Back
Top Bottom