Wale tuliowahi kunyatia Dada wa kazi tukutane hapa

lete ya binamu
 
Umenifanya nicheke kwa sauti kubwa hapa ofisini hadi jamaa wamenishangaa....
 
Mkuu,,
father house wengi wameshagombana na vijana wao kisa dada wa kazi..

Dada wa kazi ni mke mdogo kwenye nyumba,

Sasa itategemea na usharp wa Mzee ,,
Kama atazubaa basi atazidiwa kete na vijana.

Amini nakwambiya..
La Kuombea ni huyo dada wa kazi asiwe na HIV au Magonjwa mengine ya Zinaa...
 
Ila kama ni kweli usiku huo ulikua wakufana sana ha ha yaan mtu tatu ndani ya track moja!!!
 
Umenikumbusha Mitaa ya Filter, Ng'ambo na NHC
 
Disko limevamiwa na Mmasai FaizaFoxy
 
Hahahahaha huyo Bro aliyatimba
 
Dadeq Weee jamaa ukisoma jina langu hapo juu utanikumbuka na ungeendelea kuja ningefungulia mbwa wa dili na wewe..ni marrystella anaitwa...nnitakusakalanya hadi nikujue
Huwezi amini wale mbwa wasingeweza kuniuma labda Hata walikua wamenizoea kuliko wewe, nilikua nawaheshimu sana, Glasiela alikua kama mdogo wangu, kadogoo ni kama dada angu na niliwaheshimu sana Hata wangenipa mbususu nisingeweza kuwafanya kitu. Hapa unaweza kupata picha namna nilikua Karibu na famia Yako.

Marystella beki 3 nilikua nakuja kuangalia star TV Mida ya Saa 8 mchana kipindi Cha mziki Cha Sauda mwilima, nikawa nikimshikashika anatoka sebleni anaenda chumbani, Sasa Mimi kumfata nilikua naogopa sana, Mzee wenu pale alikua mkali hatari ila Maza mpole sana na nilikua namheshimu kuliko Hata Mzee. Yan sijui Hata yule Mzee alimpataje yule mama mzuri, mpole, mstaarabu na Ana Kazi Nzuri kuliko Mzee yule mlevi, mkali nk

Kwa Hiyo tom ujue nakupata vizuri nimeona nikupunguzie codes, maana wewe ulikua wa kusoma hukai sana home kama Vangi
 
Umenikumbusha Mitaa ya Filter, Ng'ambo na NHC
Mitaa yangu ya kujidai kipindi hicho, filter Karibu na Kwa zitatu, duka la mwarabu, Kwa mkanwa diwani, Kwa mosha, Kwa Mzee Simba, Ng'ambo Kwa mangap, mieji, Kwa udoba, NHC manase, Kwa chiwanga nk
 
Mitaa yangu ya kujidai kipindi hicho, filter Karibu na Kwa zitatu, duka la mwarabu, Kwa mkanwa diwani, Kwa mosha, Kwa Mzee Simba, Ng'ambo Kwa mangap, mieji, Kwa udoba, NHC manase, Kwa chiwanga nk
Nimeishi sana Igovu kipindi hicho nikiwa Charlie mdogo kabisa nikifanya kazi Benki(1st appointment)...
 
Nimeishi sana Igovu kipindi hicho nikiwa Charlie mdogo kabisa nikifanya kazi Benki(1st appointment)...
Nimekulia Hapo kitaa, nikasoma chazungwa shule ya msingi na o level mpwapwa sec, ila nilipotoka mpwapwa mwaka 2004 sijawahi kurudi Tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…