Wale tuliozidiwa urefu na wadogo zetu tuonane humu.

Wale tuliozidiwa urefu na wadogo zetu tuonane humu.

Jua umezeeka baadhi ya cell zakuwa dwafu subiri afikishe umri wako unashangaa mnaringana hata mzazi wako lazima utakuwa unamzid Lakin Zaman ulikuwa unaona pande la mtu
 
mdogo wangu wa mwisho kazaliwa 2004 nimemzidi miaka zaidi ya kumi ana futi 6.5 na mimi kaka yake eti futi 5.8 this is not fair, maza itabidi abanwe na aeleze kinagaubaga hii mbegu ya uyu dogo ni ya wapi
acha ujinga jinga
kuna mada njingi za kujadili sio vepa zako izo
 
mama aeleze hiyo mbegu fupi ya mtoa mada kaitoa wapi
 
Mi mabro zangu nimewazidi sana aisee,kama huyo wakwanza dah...
 
Back
Top Bottom