Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Uzima upo wakuu??
Uzi huu ni wa kushea experience yako ulipokuwa shule hasa ugomvi na walimu au wanafunzi wenzako.
Binafsi Mimi shule ya msingi mwalimu mmoja alikuwa wa hisabati.yeye nilimkutaga kwenye pagale (jengo ambalo halijamaliziwa) yupo na madam wanatongozana!
So nikatega sikio baada ya hapo nikacheka kwa nguvu! Wao ndani wakaniona,me nikakimbia!
Kesho yake sasa nimechelewa shule halafu yule ticha alikuwa ana zamu! Yaani alinigonga fimbo vibaya mno! Me nikamsukumiza kwenye kalo la maji akatumbukia humo! Mimi nduki mpaka home nikamkuta mjomba wangu, yeye alikuwa polisi, nikamwambia tukaenda shule
Tulipofika ofisini tukakuta yule mwalimu kalowana ndo ametoka kwenye kalo!
Nikamwambia mjomba huyu ticha huyu ndo alinichapa!
Mjomba alimbeba yule mwalimu mpaka nje, akamdumbukiza tena kwenye kalo!
Toka siku hiyo nilikuwa sichapwi kizembe. Ukizingatia mwalimu mkuu alikuwa ni best friend na mzee wangu!
Shea nawe Mwana jf historia yako
Pia ntaelezea kisa changu nilipokuwa sec
Uzi huu ni wa kushea experience yako ulipokuwa shule hasa ugomvi na walimu au wanafunzi wenzako.
Binafsi Mimi shule ya msingi mwalimu mmoja alikuwa wa hisabati.yeye nilimkutaga kwenye pagale (jengo ambalo halijamaliziwa) yupo na madam wanatongozana!
So nikatega sikio baada ya hapo nikacheka kwa nguvu! Wao ndani wakaniona,me nikakimbia!
Kesho yake sasa nimechelewa shule halafu yule ticha alikuwa ana zamu! Yaani alinigonga fimbo vibaya mno! Me nikamsukumiza kwenye kalo la maji akatumbukia humo! Mimi nduki mpaka home nikamkuta mjomba wangu, yeye alikuwa polisi, nikamwambia tukaenda shule
Tulipofika ofisini tukakuta yule mwalimu kalowana ndo ametoka kwenye kalo!
Nikamwambia mjomba huyu ticha huyu ndo alinichapa!
Mjomba alimbeba yule mwalimu mpaka nje, akamdumbukiza tena kwenye kalo!
Toka siku hiyo nilikuwa sichapwi kizembe. Ukizingatia mwalimu mkuu alikuwa ni best friend na mzee wangu!
Shea nawe Mwana jf historia yako
Pia ntaelezea kisa changu nilipokuwa sec