Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.

Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi.

Nimepewa number za wasambazaji wa Mchanga nime agiza lori 4.

Nimepita Duka la Hardware nime nunua Nondo za 16mm pc 25.

Jioni hii nimepita Kwa wauza Cement nime lipia mifuko 50 ila itakuwa inaletwa site taratibu kwa itaji la siku la Mafundi maana hawako mbali na site yangu na sina pakuweka.

Kwa sasa Niko mahali na Taka kununua Tank la Majin la simTank la l lita 4000lt.

Siku yangu imeisha kwa-ubize huu...

Vipi wenzangu!?? Mliopanga kuanza ujenzi mwaka huu mna mikakati ya kuanzaje.. ??

Pia naomba Wajenzi wazoefu nishauri chochote hapo.

Site yangu ipo Mbezi Beach ya Salasala Mwisho wa Lami mita 200 tu kutoka Lami ilipo.

Vifaa ni vyakuanzia tu awamu ya kwanza.. Nyumba niliyo ipost hapa chini ndio Ninayo ijenga na hiyo ni moja ya Mchoro wa Actual drawing from Wachoraji.View attachment 2065228View attachment 2065227
Mkuu hongera sana sana.
Japo nimeshtuka uliposema..
"Fundi wako amekagua tofali"
1. Ghorofa unatumia fundi??
2. Je unajua ujenzi huo kisheria
Huruhusiwi kutumia fundi?
3. Kwamba wakipita wakaguzi yaani..
AQRB ujenzi wako utapewa stop order?

Ushauri wangu.
1. Tumia mafundi lakini..
2. Pata Qs kama consultant
3. Architect kama consultant
4. Eng. Kama consultant na msimamizi
wa mradi..

Note;
1. Ramani yako lazima igongwe muhuri na hao hapo juu ili uoewe sticker za kuweka kwenye kibao.

2. Hawa niliowataja kishkaji watakubeba na watakushauri mengi kuepuka hasara ya ujenzi kusimamishwa au nyumba kuporomoko.
Jifunze sana kutumia wataalam hautojuta mkuu.
 
Mkuu hongera sana sana.
Japo nimeshtuka uliposema..
"Fundi wako amekagua tofali"
1. Ghorofa unatumia fundi??
2. Je unajua ujenzi huo kisheria
Huruhusiwi kutumia fundi?
3. Kwamba wakipita wakaguzi yaani..
AQRB ujenzi wako utapewa stop order?

Ushauri wangu.
1. Tumia mafundi lakini..
2. Pata Qs kama consultant
3. Architect kama consultant
4. Eng. Kama consultant na msimamizi
wa mradi..

Note;
1. Ramani yako lazima igongwe muhuri na hao hapo juu ili uoewe sticker za kuweka kwenye kibao.

2. Hawa niliowataja kishkaji watakubeba na watakushauri mengi kuepuka hasara ya ujenzi kusimamishwa au nyumba kuporomoko.
Jifunze sana kutumia wataalam hautojuta mkuu.
noted...

Natoa pongezi kwa mleta mada hatua aliyofikia sio haba pia ukizangatia kipindi cha January kuanza au kuendeleza ujenzi sio jambo rahisi kwa nchi za kipato chini ya dola moja huku sirikali ikiwa na akiba zaidi ya dola bilion elfu sita..

kama ikikupendeza jinsi ulivyoweza kushare ramani,mchakato wake pamoja na gharama zake. mapicha ya site,material na kazi ikiwa inaendelea itakuwa vizuri zaidi kuwatoa tongotongo hawa kina Thomaso pia itazidi kututia nguvu sisi tunaoamini kwa kusikia bila matendo...

itaendelea....
 
Hongera mkuu.
Mdogo mdogo utatoboa pasaka utailia kwako.
 
Mkuu hongera sana sana.
Japo nimeshtuka uliposema..
"Fundi wako amekagua tofali"
1. Ghorofa unatumia fundi??
2. Je unajua ujenzi huo kisheria
Huruhusiwi kutumia fundi?
3. Kwamba wakipita wakaguzi yaani..
AQRB ujenzi wako utapewa stop order?

Ushauri wangu.
1. Tumia mafundi lakini..
2. Pata Qs kama consultant
3. Architect kama consultant
4. Eng. Kama consultant na msimamizi
wa mradi..

Note;
1. Ramani yako lazima igongwe muhuri na hao hapo juu ili uoewe sticker za kuweka kwenye kibao.

2. Hawa niliowataja kishkaji watakubeba na watakushauri mengi kuepuka hasara ya ujenzi kusimamishwa au nyumba kuporomoko.
Jifunze sana kutumia wataalam hautojuta mkuu.
Sure bro . tayari kuna Engineer anaye simama kama consultant yeye ndio kasimamia vibali.
 
Mhm yataka moyo maana sie wengine ukishika million tuu tayari akili inahamia kwenye mbususu
Ha ha ha ha ha ha aaaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
SALASALA iko magharibi ya Bagamoyo Road, ambako hakuna beach, hakuna kitu kinachoitwa Mbezi Beach ya Salalala, huko ni simply SALASALA!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha wivu mkuu
 
SALASALA iko magharibi ya Bagamoyo Road, ambako hakuna beach, hakuna kitu kinachoitwa Mbezi Beach ya Salalala, huko ni simply SALASALA!
I dont care, hivyo ndivyo nilivyo kuta wenyeji wangu wanakuita.. So Upo OP kwa hoja za Uzi huu.. Kama una umia sana kwa Holo Jina Tuna weza pia kupaita Jina l sehemu za siri za Mama yako ili upate kumbukumbu yake ata akisha aga dunia.
 
Nipo kupokea madini

Nami nina mpango wa kuanza kujenga ghorofa mwaka huu.


Endelea kushusha kila u alokutana nalo huko tujifunze.

Ila ungekuwa na hela za kutosha,ungenunua material kiwandani kupunguza gharama...nondo na simenti.
 
Nipo kupokea madini

Nami nina mpango wa kuanza kujenga ghorofa mwaka huu.


Endelea kushusha kila u alokutana nalo huko tujifunze.

Ila ungekuwa na hela za kutosha,ungenunua material kiwandani kupunguza gharama...nondo na simenti.
asante kwa ushauri bro
 
Wanaojenga hawaongei ila nyie mnaongeja mabanda ya kuku ndo kelele kibao ad mnaanzisha na uzi kabisa

Tafuta pesa kua na pesa kila kitu utakiona cha kawaida nyumba moja unaongea Jf nzima
 
Back
Top Bottom