Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi

hii ni kwa hesabu ya kisemvule mkuranga mchanga upo tu vifaa vya ujenz viwanda vipo mtaan nk 0744576060
20220106_101758.jpg
View attachment 2070399
Screenshot_20210824-200125_Facebook.jpg


Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
I dont care, hivyo ndivyo nilivyo kuta wenyeji wangu wanakuita.. So Upo OP kwa hoja za Uzi huu.. Kama una umia sana kwa Holo Jina Tuna weza pia kupaita Jina l sehemu za siri za Mama yako ili upate kumbukumbu yake ata akisha aga dunia.
Mkuu
Uzi wako ni mzuri. Usiufifishe kwa lugha tata. Ni bora ukawapigia kimya unaoona wanakukwaza.
 
Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina.. mafano hapo una gusia ada za januari wakati mimi naumri huu sina mtoto na sinafuraha kwenye eneo hilo na umri huu.

Kama una baraka ya watoto na mke wwngine hatuna natuna 33yrs ila hatuna mke wala mtoto na kwenye eneo hilo hakukai sawa kabisa kumeshindikana.. sasa nikuulize ikiwa una mtoto na mke uambiwe unipe mimi hiyo mke na mtoto alafu mimi nikuachie nyumba hii ninayo jenga utakubali?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fala sana wewe ila umewaza jambo kubwa sana ambalo ndio linatokea sana katika maisha ya sasa watu wanajiona wamepungukiwa sana wanasahauu baraka walizopokea tena tele.Wanasema dunia rangi rangile asio na hili ana lile.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Wanaojenga hawaongei ila nyie mnaongeja mabanda ya kuku ndo kelele kibao ad mnaanzisha na uzi kabisa

Tafuta pesa kua na pesa kila kitu utakiona cha kawaida nyumba moja unaongea Jf nzima
Nakujua nimetoka kukupa makavu kwa account nyingine uka kimbilia kujileta na a account nyingine.. usichokijua sikuizi kuna option hapa jf yakujua connections ya account za mtu mmoja ata ukiwa na sita . zinaonekana.. kajipange baba..
 
Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina.. mafano hapo una gusia ada za januari wakati mimi naumri huu sina mtoto na sinafuraha kwenye eneo hilo na umri huu.

Kama una baraka ya watoto na mke wwngine hatuna natuna 33yrs ila hatuna mke wala mtoto na kwenye eneo hilo hakukai sawa kabisa kumeshindikana.. sasa nikuulize ikiwa una mtoto na mke uambiwe unipe mimi hiyo mke na mtoto alafu mimi nikuachie nyumba hii ninayo jenga utakubali?
Dah umenifundish kitu ahsant kwa busara hizi Mungu akutangulie
 
Nahisi mwenzangu Huna stress mimi ni ujenzi wa kwanza ramani yangu na yako hazitofautiani ila kuna pahala nime doubt fundi anasema foundation nitahitaji mifuko 400 eneo langu sio slope ni hapa shule ya msingi Ali hapi karibu na Moga primary school naomba nipe uzoefu mwenzangu foundation fundi kasema mifuko mingapi...maana mimi ukubwa wa jengo ni mita 21 kwa 21. Tafadhali nahisi anataka kunipiga...material zote nimeshakusanya kama wewe kasoro sementi nasita nahisi hakuna uhalisia...Tafadhali share uzoefu.
Tafuta mafundi wanne wazoefu kila MTU na wakati wake utaona fundi mkweli kwa tasimin watakayokup ,kua makini wengine wanataka kupiga
 
Wanaojenga hawaongei ila nyie mnaongeja mabanda ya kuku ndo kelele kibao ad mnaanzisha na uzi kabisa

Tafuta pesa kua na pesa kila kitu utakiona cha kawaida nyumba moja unaongea Jf nzima

MAKASIRIKO.COM
giphy.gif

giphy.gif
 
Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.

Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi.

Nimepewa number za wasambazaji wa Mchanga nime agiza lori 4.

Nimepita Duka la Hardware nime nunua Nondo za 16mm pc 25.

Jioni hii nimepita Kwa wauza Cement nime lipia mifuko 50 ila itakuwa inaletwa site taratibu kwa itaji la siku la Mafundi maana hawako mbali na site yangu na sina pakuweka.

Kwa sasa Niko mahali na Taka kununua Tank la Majin la simTank la l lita 4000lt.

Siku yangu imeisha kwa-ubize huu...

Vipi wenzangu!?? Mliopanga kuanza ujenzi mwaka huu mna mikakati ya kuanzaje.. ??

Pia naomba Wajenzi wazoefu nishauri chochote hapo.

Site yangu ipo Mbezi Beach ya Salasala Mwisho wa Lami mita 200 tu kutoka Lami ilipo.

Vifaa ni vyakuanzia tu awamu ya kwanza.. Nyumba niliyo ipost hapa chini ndio Ninayo ijenga na hiyo ni moja ya Mchoro wa Actual drawing from Wachoraji.

View attachment 2065228View attachment 2065227
Uwe serious basi na wewe,hii nyumba iliyoko kwenye picha una aanza na nondo pcs 25?,au umeandika kujifurahisha tu?
 
Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi

hii ni kwa hesabu ya kisemvule mkuranga mchanga upo tu vifaa vya ujenz viwanda vipo mtaan nk 0744576060 View attachment 2070400View attachment 2070399View attachment 2070402

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Kwa kibaha mlandizi nazani hesabu itakua bado ni hio hio
 
Uwanja wa futi 50 kwa 40 ambao ni square meter 200 unaonekana mdogo ila unapata kitu kama icho na ardhi yetu ni mchanga sio lazima sana kuweka mkanda chini ujenz wa gharama nafuu

Uwanja 2,500,000
Tofar 2700@900 = 2,430,000
cement 42@15000 =630000
nondo 18@2400 ni 432000
Komoto qubic moja 180000
maji 100000
fundi 1,200,000
kukod mbao za lint 75000
mbao za sahab 5@6000 = 30000
misumar 12000
usafir wa 40000

mchanga sijapigia hapo unajichimbia tu kwenye eneo lako dada alikuja na 12ml kesho kutwa tunapaua



Total ni kama 7,629,000/=

kupaua

mbao 2*2 ni 90*2800=252000
mbao 2*4 ni 90*4500=405000
fundi 1000,000
bati pc 87*22000=1,914,000
misumar ya bati & kench = 200000
kench waya 4@4000= 16000

total 3,762,000/=

jumla kuu 11,391,000/=

uharisia wa kweli ambao nauishi

hii ni kwa hesabu ya kisemvule mkuranga mchanga upo tu vifaa vya ujenz viwanda vipo mtaan nk 0744576060 View attachment 2070400View attachment 2070399View attachment 2070402

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hii nyumba ina vyumba vingapi?

Na inachukua sqr metre ngapi?
 
Mimi nimeanza leo kwa kupita kwa wauza matofali, Nimechagua tofali zangu 5000 fundi wangu akazikagua ubora nikalipia.

Tukapitia Kwa wauza Kokoto JKT nimelipia Lori 2 nyeusi.

Nimepewa number za wasambazaji wa Mchanga nime agiza lori 4.

Nimepita Duka la Hardware nime nunua Nondo za 16mm pc 25.

Jioni hii nimepita Kwa wauza Cement nime lipia mifuko 50 ila itakuwa inaletwa site taratibu kwa itaji la siku la Mafundi maana hawako mbali na site yangu na sina pakuweka.

Kwa sasa Niko mahali na Taka kununua Tank la Majin la simTank la l lita 4000lt.

Siku yangu imeisha kwa-ubize huu...

Vipi wenzangu!?? Mliopanga kuanza ujenzi mwaka huu mna mikakati ya kuanzaje.. ??

Pia naomba Wajenzi wazoefu nishauri chochote hapo.

Site yangu ipo Mbezi Beach ya Salasala Mwisho wa Lami mita 200 tu kutoka Lami ilipo.

Vifaa ni vyakuanzia tu awamu ya kwanza.. Nyumba niliyo ipost hapa chini ndio Ninayo ijenga na hiyo ni moja ya Mchoro wa Actual drawing from Wachoraji.

View attachment 2065228View attachment 2065227
Hongera sana
 
Uwe serious basi na wewe,hii nyumba iliyoko kwenye picha una aanza na nondo pcs 25?,au umeandika kujifurahisha tu?
Kaka sina pakuwekasite haina hata uzio.. unataka nikarundike hapo ziibiwe?? nyumba inataka nondo 130 kwako unataka nikanunue zote nijaze site?? kwani zinasukwa zote kwa siku moja??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanasema asiye kujua akikuona barabarani anakujaji kwa muonekano wako.. ila natamani ungejua maish niliyo kulia nahata sasa una weza niona nina kazania kitu ambacho labda wewe huna ila kumbe wewe una mengi ambayo mimi sina.. mafano hapo una gusia ada za januari wakati mimi naumri huu sina mtoto na sinafuraha kwenye eneo hilo na umri huu.

Kama una baraka ya watoto na mke wwngine hatuna natuna 33yrs ila hatuna mke wala mtoto na kwenye eneo hilo hakukai sawa kabisa kumeshindikana.. sasa nikuulize ikiwa una mtoto na mke uambiwe unipe mimi hiyo mke na mtoto alafu mimi nikuachie nyumba hii ninayo jenga utakubali?
Umenigusa ndg yangu 😢😢😢
 
Back
Top Bottom