Kweli kabisa mi huwa nafua nguo Mara moja tu na kuzianika sababu zangu
1. Nilikuwa nafua maratatu ile Mara ya tatu nikaona tanatoka maji na povu jingi nikajua napoteza muda
2. Nguo zangu hazichafuki km enzi za shule
3. Kucheza sabuni km unafua zaidi ya Mara 1
Nguo zikiwa nyingi naonaga uvivu Sana
Je wewe kwanini unafua nguo Mara moja!!???
1. Nilikuwa nafua maratatu ile Mara ya tatu nikaona tanatoka maji na povu jingi nikajua napoteza muda
2. Nguo zangu hazichafuki km enzi za shule
3. Kucheza sabuni km unafua zaidi ya Mara 1
Nguo zikiwa nyingi naonaga uvivu Sana
Je wewe kwanini unafua nguo Mara moja!!???