Wale Tunaokerwa Na Wale Wanao quote Nyuzi Ndefu Pitia Hapa

Wanafanya Uzi upoteze mantiki na kuwa mreeeeefu
Kipimo Cha Mkojo Kitapendeza Kwa Hawa Watu Najua Wanapitia Huu Uzi Alafu Wanaendelea Kupambana Na Hali Zao But elimu Haina Mipaka.
 
Mimi huwa nawachukulia kama wapumbafu wasiojitambua na wanaendeshwa na ufala akilini mwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…