Mareth
JF-Expert Member
- Dec 9, 2017
- 341
- 571
Nimeshafundishwa sana ila matokeo yake ni zero. Nimeamua kuachana nazoMuone Evelyn Salt au farkhina wakusaidie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshafundishwa sana ila matokeo yake ni zero. Nimeamua kuachana nazoMuone Evelyn Salt au farkhina wakusaidie.
Hahaha mwambie emmyta akufundisheYaani wee acha tu. Zinakuwa kama clips halafu zina mapembe ya kutosha[emoji23]
Hizo za kukoroga (Za maji) naziweza ila sizipendi kivileJamani mbona kuna zile za Azam ambazo zimeshasagwa au kuna zile ambzo za kukoroga kama za kiarabu
Nitamsumbua bure dada yangu,hilo somo lilishanishindaga kitamboHahaha mwambie emmyta akufundishe
Nimeshafundishwa sana ila matokeo yake ni zero. Nimeamua kuachana nazo
Yaani wee acha tu. Zinakuwa kama clips halafu zina mapembe ya kutosha[emoji23]
Asante kwa kunipa matumaini nitarudi darasani kujaribu tena kwa mara nyingine,labda nitawezaUsikate tamaa mmoja wa hawa anaweza kabisa kukusaidia hadi ukaona improvement. Na mapishi ya chapati si mchezo lakini kwa wajuzi wanaona ni kitu rahisi mno.
Haha sasa kama chapati zinakushinda wali nazi kweli unaweza kuupikaNitamsumbua bure dada yangu,hilo somo lilishanishindaga kitambo
kwani miuu unaoa ili upikiwe au unaoa kwa kuwa ni kutimiza maagano tu?Mwanaume ukizoea kupika utachelewa kuoa.
Huwa nazitamaniki hata kidogo,naishiaga kuzitupa kabla watu hawajaziona [emoji85]Hahahahaha lol! Mapembe kama ya ng’ombe? Na mdomoni Je? Zinaweza kutafunika au ni kama jiwe?
Huo niko vizuri mno.Haha sasa kama chapati zinakushinda wali nazi kweli unaweza kuupika
Mkuu mm nikioa ntakua napika halafu wife anaosha vyombokwani miuu unaoa ili upikiwe au unaoa kwa kuwa ni kutimiza maagano tu?
Huwa nazitamaniki hata kidogo,naishiaga kuzitupa kabla watu hawajaziona [emoji85]
Safi sanaHuo niko vizuri mno.
AsantePole sana ila usikate tamaa. Jitahidi angalau uwe unajaribu mara moja kwa wiki kwa chapati chache tu kwa kufuata ushauri toka kwa hawa ila kutengeneza ule mduara nako ni kazi.
Inaelekea wewe unapenda wali [emoji12]Safi sana
Napenda ila ugali zaidiInaelekea wewe unapenda wali [emoji12]
Ugali na mboga gani?Napenda ila ugali zaidi
Safi sana!Mkuu mm nikioa ntakua napika halafu wife anaosha vyombo