United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Isimila Iringa nilitembelea kitambo sana nilipenda sana zile stone Age
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks sanaKuna maeneo kadhaa mazuri ya kutembelea mkoani Mbeya, jumlisha na mkoa wa Songwe
- Kawetire view point - Njia ya kwenda Chunya. Pale utaona bonde la ufa kwa ukubwa wake, yaani ile trough (beseni) la bonde la ufa, ni sehemu nzuri sana. Iko njia kuu ya kwenda Singida na Tabora eneo la Kawetire
- Daraja la Mungu, likpo Rungwe Mbeya. Ni mwamba mgumu (jiwe) ambao umevuka mto na pana mandhari nzuri sana ya kuvutia. Jirani na hapo pana kijungu (maji ya mto yanapotelea ardhini)
- Tembelea Matema, fukwe za ziwa Nyasa. Kuna fukwe nzuri sana na utapata nafasi ya kuogelea ziwani, maji baridi burudani kabisa na utapata nafasi ya kula samaki wa ziwa Nyasa
- Eneo la Songwe (Majimoto) kuna majimoto (geysers) yanayotoka ardhini. Maji ni ya moto kiasi unaweka yai linaiva na unakula. Kijiji kipo kilometa 8 kutoka uwanja wa Ndege wa Songwe, kama unaelekea Tunduma
- Ukipata nafasi temebelea kimondo cha Mbozi, eneo la Ndolezi, nao ni utalii tosha.
- Mwisho, tembele mbuga ya maua ya Kitulo, ni mwendo wa saa 2 kutoka Mbeya mjini, uelekeo wa Makete Njombe kupitia Igoma.
waandikie bei hiyo ambayo wewe wasema sio kubwa kiivyo waioneKwa sababu zipi? Panaendeka vizuri tu na bei sio kubwa kihivyo.View attachment 2954501View attachment 2954504
Achana na sisi wewe. Tuache kabisaaaaaaaa.Kwa sababu zipi? Panaendeka vizuri tu na bei sio kubwa kihivyo.View attachment 2954501View attachment 2954504
Bei ya hapa imechangamka bhana,Kwa sababu zipi? Panaendeka vizuri tu na bei sio kubwa kihivyo.View attachment 2954501View attachment 2954504
Aisee Una Akili nyingi Sana mkuuIla wadau vacation ni muhimu sana kuweka kichwa sawa.
Hata kama umepigika kiasi gani jitahidi kwenda vacation at mara moja kwa mwaka ukakae sehemu na familia hata siku mbili tatu. Inasaidia sana kutuliza kichwa na kuweka muunganiko wa familia.
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia zetu. Kubadilisha mazingira ya nyumbani na pia kula misosi tofauti na ya nyumbani.
Napenda vacation
Self service bufee BF 45kwaandikie bei hiyo ambayo wewe wasema sio kubwa kiivyo waione
🤣🤣🤣🤣 nimekumiss bana weeAchana na sisi wewe. Tuache kabisaaaaaaaa.
Wewe cheap kwako inaanzia $300 tatizo.
Tatizo viwanja vyetu tofauti.. we ushuani.. 😝😝😝🤣🤣🤣🤣 nimekumiss bana wee
Mkuu mtaani bia 2000 Tsh. 🙌🏻🙌🏻😁Self service bufee BF 45k
Bia 6.5k mtaani 4000/3000
Imported bia 9k.. ambazo mtaani ni 5k
Kitimoto 36k
Fish fillet 36k
Unless bei ziwe zimebadilikwa kwa mwaka huu.
Wee mbona vi flying fish nanunuaga buku 4 huku mtaani 😂😂Mkuu mtaani bia 2000 Tsh. 🙌🏻🙌🏻😁
😂😂 nitakufinyaTatizo viwanja vyetu tofauti.. we ushuani.. 😝😝😝
Mkija Dar muwe mnasema. Ata PM kama kuanzisha uzi "Safari yangu ya Dar" hamuwezi.😂😂 nitakufinya
Mbinga Hadi Nyasa mbambabay, hutojutaHabari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.
Karibu uweke comment yako.
Sisi wengine tunaishi Fukweni na Familia Mwaka hadi MwakaMaisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia
Mbeya napatamani sana aiseeMbeya moja patamu sana hapaView attachment 2959163
Hata hotel zake Bei kubwa kama ZanzibarO Lushoto ni ulaya