Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

Thanks sana
 
Aisee Una Akili nyingi Sana mkuu
 
waandikie bei hiyo ambayo wewe wasema sio kubwa kiivyo waione
Self service bufee BF 45k
Bia 6.5k mtaani 4000/3000
Imported bia 9k.. ambazo mtaani ni 5k
Kitimoto 36k
Fish fillet 36k

Unless bei ziwe zimebadilikwa kwa mwaka huu.
 
Self service bufee BF 45k
Bia 6.5k mtaani 4000/3000
Imported bia 9k.. ambazo mtaani ni 5k
Kitimoto 36k
Fish fillet 36k

Unless bei ziwe zimebadilikwa kwa mwaka huu.
Mkuu mtaani bia 2000 Tsh. πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ˜
 
Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania.

Karibu uweke comment yako.
Mbinga Hadi Nyasa mbambabay, hutojuta
 
Maisha mafupi haya tusiishie kuchangia harusi tu, tuweke na akiba kidogo kwenda vacation na familia hata mara moja kila mwaka. Kuna raha sana kukaa fukwe za bahari na familia
Sisi wengine tunaishi Fukweni na Familia Mwaka hadi Mwaka
 
Mliowahi kwenda kisiwa cha mbudya naombeni maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…