Wale tunaopitiwa na usingizi mpaka tunashindwa kuaga wapenzi wetu tukutane

ubelito

Senior Member
Joined
May 19, 2015
Posts
169
Reaction score
259
Habari watafutaji

Mm nimekuwa muhanga wa ili jambo asee na hii ni kitokana na mishe nyingi za mchana yan ile kitendo cha kuweka ubavu kitandani na kupitia post mbili tatu za umu jf unajikuta umeamshwa kesho na jogoo la mama mwenyewe nyumba

Kuna mupenzi tuliachana kisa eti simwambii usiku mwema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Uyu wasasa nae imekuwa tatizo sana




[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
[emoji23][emoji23][emoji23]mwingine anatamani apate wa kuwa anamwambia hivyo na amuoni.
 
utoto kabisa huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…